mwanakidagu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 208
- 78
Tanganyika nchi ya watanganyika iliyopotea kisa muungano.Yupo mtanganyika mmoja kwa jina anaitwa CHRISTOPHER MTIKILA ameidai nchi yake takriban miaka 20 hv bila mafanikio.
Ipo siku watanganyika watapata uhuru wa taifa lao lililoporwa na muungano feki unao maliza kodi zetu kwa kuundwa kwa kamati za kunusuru muungano huu feki.
Ipo siku watanganyika watapata uhuru wa taifa lao lililoporwa na muungano feki unao maliza kodi zetu kwa kuundwa kwa kamati za kunusuru muungano huu feki.