Tanganyika imewacheleweshea Maendeleo Zanzibar

Tanganyika imewacheleweshea Maendeleo Zanzibar

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
104,319
Reaction score
183,614
Naiangalia Rwanda inavyochanja mbuga

Naiangalia Uganda iliyoathiriwa na Vita inavyokaribia kutupita kiuchumi

Yaani Tanzania wanyonge wetu ni Kenya na Burundi tu

Ile Zanzibar ya Abeid na Abdul Jumbe ingebakia peke yake sasa hivi ingekuwa kama Qatar

Tanganyika ni UCHAWA tu 😂
 
Naiangalia Rwanda inavyochanja mbuga

Naiangalia Uganda iliyoathiriwa na Vita inavyokaribia kutupita kiuchumi

Yaani Tanzania wanyonge wetu ni Kenya na Burundi tu

Ile Zanzibar ya Abeid na Abdul Jumbe ingebakia peke yake sasa hivi ingekuwa kama Qatar

Tanganyika ni UCHAWA tu 😂
Wewe huji kitu wanyonge wetu ni Uganda,Burundi,DRC,Zambia,Malawi na Msumbiji.
 
Naiangalia Rwanda inavyochanja mbuga

Naiangalia Uganda iliyoathiriwa na Vita inavyokaribia kutupita kiuchumi

Yaani Tanzania wanyonge wetu ni Kenya na Burundi tu

Ile Zanzibar ya Abeid na Abdul Jumbe ingebakia peke yake sasa hivi ingekuwa kama Qatar

Tanganyika ni UCHAWA tu 😂
Usikwepe kusema ukweli, mchawi wa Tanganyika na Zanzibar huru ni CCM. Na wewe siku hizi umejitoa kwenye kile chama chenu cha chawa wa mama.
 
Back
Top Bottom