Tanganyika bado ipo?

Brightman Jr

JF-Expert Member
Mar 22, 2009
1,225
232
Wakuu naomba nielimishwe kuhusu uwepo au kutokuwepo kwa Tanganyika. Nimemsikia mh. Jussa akilitumia mara kwa mara neno "Watanganyika...."wakati anahojiwa na DW-radio; hii inanipa shida kidogo kufahamu ukweli kuhusu Tanganyika kama ipo ama ilishakufa i mean haipo kabisa. Kwenu wataalam wa masuala ya kisiasa mwasemaje?
 
Wakuu naomba nielimishwe kuhusu uwepo au kutokuwepo kwa Tanganyika. Nimemsikia mh. Jussa akilitumia mara kwa mara neno "Watanganyika...."wakati anahojiwa na DW-radio; hii inanipa shida kidogo kufahamu ukweli kuhusu Tanganyika kama ipo ama ilishakufa i mean haipo kabisa. Kwenu wataalam wa masuala ya kisiasa mwasemaje?
Mkuu Negembo.

Tanganyika ipo imepewa jina jipya kinyemela tu. Leo inaitwa Tanzania bara au bara. Kama umeyasikia majina haya kutumika basi ndio majina m-badala ya Tanganyika.
Jina Tanzania pia limehifadhi ndani yake jina Tanganyika... Tan ni kifupi cha Tanganyika.
Pia ipo hii About Tanganyika Law society

Pia kuna mambo ambayo si ya Muungano, haya mambo ni mambo ya Tanganyika...Mwalimu na Warioba ndio walikuja na jina la Tanzania bara walipokuja na Katiba ya 1977.

Kwa kawaida hakuna muungano unaoua washirika wake au kuwabadilisha majina, hii case ya Tanzania ni ya kimaajabu, kiini macho au mazingaombwe.
Hata ukipitia ile hati inayoitwa.. The article of the Union between Tanganyika and Zanzibar inasema
(v) The existing laws of Tanganyika and of Zanzibar shall remain in force in their respective territories subject-


http://dir.groups.yahoo.com/group/Wanazuoni/message/7798
 
Mkuu Negembo.

Tanganyika ipo imepewa jina jipya kinyemela tu. Leo inaitwa Tanzania bara au bara. Kama umeyasikia majina haya kutumika basi ndio majina m-badala ya Tanganyika.
Jina Tanzania pia limehifadhi ndani yake jina Tanganyika... Tan ni kifupi cha Tanganyika.
Pia ipo hii About Tanganyika Law society

Pia kuna mambo ambayo si ya Muungano, haya mambo ni mambo ya Tanganyika...Mwalimu na Warioba ndio walikuja na jina la Tanzania bara walipokuja na Katiba ya 1977.

Kwa kawaida hakuna muungano unaoua washirika wake au kuwabadilisha majina, hii case ya Tanzania ni ya kimaajabu, kiini macho au mazingaombwe.
Hata ukipitia ile hati inayoitwa.. The article of the Union between Tanganyika and Zanzibar inasema
(v) The existing laws of Tanganyika and of Zanzibar shall remain in force in their respective territories subject-


Yahoo! Groups

Nonda nimekupata vizuri kabisa, hapo nimetambua kuwa kumbe Tanganyika ipo ila imefichwa ndani ya Tanzania. Lakini kwanini jina Tanganyika lifichwe, lilikuwa na ubaya gani? I'm still confused hapo....!
 
Tanganyika ni Tanzania.

Na nchi inaitwa JMTz.

We Barubaru hivi frying pan na chip pan ni majina yenye maana moja? Nafikiri Tanganyika na Tanzania ni majina mawili tofauti. Labda kama una maelezo zaidi nitafahamu vizuri.
 
Back
Top Bottom