kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 16,247
- 16,169
Umy tulia dada yangu, CCM ina kazi nyingi sana. CCM ni serikali ndani ya serikali, ina macho na masikio mengi na mikono mingi sana. Sema kweli kama hukutoa chochote kwa wajumbe hawa.
View: https://www.youtube.com/live/4gphFo1NSv0?si=0wN2U524hCofQHh4
View: https://www.youtube.com/live/4gphFo1NSv0?si=0wN2U524hCofQHh4