Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,242
- 34,917
Mkoa wa Tanga kunufaika na mradi wa kusaidia sekta ya elimu uliobuniwa na Mbunge wa Viti Maalumu Tanga, Yosepher Komba. Mradi unashughulika na kusaidia upatikanaji wa vitabu,madawati, vyumba vya madarasa,vyoo vya kisasa na nyumba za walimu.
Taarifa kutoa vyanzo vya kuaminika vinabainisha kuwa mradi huo wa kusaidia sekta ya elimu unatarajiwa kuhusisha wilaya zote za mkoa wa Tanga, Muheza ikiwa ndio wilaya ya kwanza kufaidika na mradi huo.
Baadhi ya muonekano
Taarifa kutoa vyanzo vya kuaminika vinabainisha kuwa mradi huo wa kusaidia sekta ya elimu unatarajiwa kuhusisha wilaya zote za mkoa wa Tanga, Muheza ikiwa ndio wilaya ya kwanza kufaidika na mradi huo.
Baadhi ya muonekano