SEKOM nadhani kuna internal problems. Hao ni KKKT, wana nguvu sana. Kuna kitu hakiendi sawa ndani kwao. Nasikia and this is from my best friend, wanawachangisha waumini kulipa fedha/mikopo ya benki baada ya kuzuiwa kudahili!Tanga, kunani palee...mbona kila kitu kimekufa!?
Nilikua napitia guide book ya TCU. Nimeona vyuo vya Tanga vimepigwa panga tena. Ni kwamba wameshindwa kujipanga na kufanyia marekebisho maagizo ya TCU. Hapa naongelea SEKOM na Euckenforde. Kwa mafano yuo kama Teofil Kisanji, Marian University, Kampala,Arch Bishop na Mihayo vimerejeshewa udahili. Ni kwamba wametekeleza maagizo ya TCU.
Tanga tunakwama wapi
SEKOM kwa mfano ni muda mrefu badala ya kukaa kujenga mustakabali wa chuo,wametumia nguvu nyingi kulaumu watu. Tulikua na mtu anaitwa Prof Kihiyo...he was very potential, na kimsingi ni mtu wa "system" lakini walimfanyia figisu zisizo na tija. Ila tunaamini wangemtumia vzr angewavusha hapa. Utaona kwamba hii ni taasisi ya kidini lakini mambo yake yanaleta maswali. Euckenforde sijui wamekwama wapi...Tanga kunani?
SEKOMU ilibeba sana uchumi wa Lsht, watu wali invest kwenye biashara kubwa na ndogo, sasa hali itakua mbaya zaidi.
It pains kuona kwetu kunakufa,watu kama sisi tuna uwezo wa kupata fursa hapa na pale,lakini wengi wa ndugu zetu maisha yao yako pale,wapo waliokopa bank na wapo waliokua wanategemea day work "deiwaka" kuendesha familia zao....IT PAINS
Tanga mapenzi,mahabaTanga na elimu wapi na wapi mgosi!
Naanglia pia matokeo ya kidato cha sita, shule ya Eckernforde iko kwenye kumi za mwisho
Tanga, kunani palee...mbona kila kitu kimekufa!?
Nilikua napitia guide book ya TCU. Nimeona vyuo vya Tanga vimepigwa panga tena. Ni kwamba wameshindwa kujipanga na kufanyia marekebisho maagizo ya TCU.
Hapa naongelea SEKOM na Euckenforde. Kwa mafano yuo kama Teofil Kisanji, Marian University, Kampala,Arch Bishop na Mihayo vimerejeshewa udahili. Ni kwamba wametekeleza maagizo ya TCU.
Tanga tunakwama wapi
SEKOM kwa mfano ni muda mrefu badala ya kukaa kujenga mustakabali wa chuo,wametumia nguvu nyingi kulaumu watu. Tulikua na mtu anaitwa Prof Kihiyo...he was very potential, na kimsingi ni mtu wa "system" lakini walimfanyia figisu zisizo na tija. Ila tunaamini wangemtumia vzr angewavusha hapa.
Utaona kwamba hii ni taasisi ya kidini lakini mambo yake yanaleta maswali. Euckenforde sijui wamekwama wapi...Tanga kunani?
SEKOMU ilibeba sana uchumi wa Lsht, watu wali invest kwenye biashara kubwa na ndogo, sasa hali itakua mbaya zaidi.
It pains kuona kwetu kunakufa,watu kama sisi tuna uwezo wa kupata fursa hapa na pale,lakini wengi wa ndugu zetu maisha yao yako pale,wapo waliokopa bank na wapo waliokua wanategemea day work "deiwaka" kuendesha familia zao....IT PAINS
Yaani Tanga kutoa shule moja tu katika shule 10 za mwisho unashangaa , sasa Mkoa kama MARA uliotoa shule 3 za mwisho itakuwaje au zenji (mjini magharibi ) iliotoa shule 4 siungeongea mpaka upasuke mdomo, Tanga inakwenda vizuri chukua hii kwa faida yakoTanga na elimu wapi na wapi mgosi!
Naanglia pia matokeo ya kidato cha sita, shule ya Eckernforde iko kwenye kumi za mwisho
Ukweli unauma, ni kwamba idadi kubwa ya watu wa Tanga ni roho korosho. Nimesoma nao, nimeishi nao, na nina fanya nao kazi.
Sekom kuna shida iliyotokana na mambo ya kisiasa,...KKKT wanataka mkuu wa chuo awe Mlutheri wakati mamlaka ziliwaletea mkatoliki anayepokea maagizo toka juuSEKOM nadhani kuna internal problems. Hao ni KKKT, wana nguvu sana. Kuna kitu hakiendi sawa ndani kwao. Nasikia and this is from my best friend, wanawachangisha waumini kulipa fedha/mikopo ya benki baada ya kuzuiwa kudahili!
Eckenforde alikuwa hana uwzo wa University in all aspects be it infrastructure/superstructure! Alikuwa bado! Ajipange kwa aspect hizo mbili.
Hapana labda Tanga ya leo... Sio ya Zama zetu mpaka hivi karibuni... Rekodi ya hizi shule inaheshimika mpaka nje ya TanzaniaTanga na elimu wapi na wapi mgosi!
Naanglia pia matokeo ya kidato cha sita, shule ya Eckernforde iko kwenye kumi za mwisho
Kule ni pwani na kuna mjumuiko wa watu mbali mbali ambao sio wote ni wakazi asilia.. Fika lushoto uoneuko sahihi nimefanya biashara ya mawe na watu wa Tanga ata wenyewe tu wanawekeana roho ya korosho. ukiwashinda akili wanakimbilia kuloga.
Tanga wakipunguza roho ya ubinafsi wakapunguza na ushirika Tanga itakuwa mbali sana.
Vyuo vijengewe kulingana na mazingira ya mahali husika.
Ningekuwa mimi, Tanga ningejenga vyuo vya aina hii huko ugosini.
1.Bachelor/ master degree ya mahaba na mapenzi.
2..Bachelor/master degree ya uchawi na mambo ya ushirikina.
3.Bachelor/master degree ya umbea na maswala ya kujipodoa.
GalanosHapana labda Tanga ya leo... Sio ya Zama zetu mpaka hivi karibuni... Rekodi ya hizi shule inaheshimika mpaka nje ya Tanzania
Magamba boys (shule yangu)
KIFUNGILO girls
Mazinde juu
Soni seminary
Tanga school
Popatiral
Korogwe girls
Etc
Sekom kuna shida iliyotokana na mambo ya kisiasa,...KKKT wanataka mkuu wa chuo awe Mlutheri wakati mamlaka ziliwaletea mkatoliki anayepokea maagizo toka juu
Ukisoma maandishi ya askofu Munga unaweza kuona shida iko wapi na yule Bagonza pia... Hawa hawaogopi kukosoa (kwa weledi)