Kasera Kange Tanga kuna mgogoro mkubwa wa viwanja vya wanyonge na masikini kuuzwa kwa wafanyabiashara na jamaa wa maafisa ardhi Straton (Toni) na Mruma na si kurasimisha kama alivyo agiza Waziri Lukuvi katika mkutano na wananchi March, 2019. Waziri alitoa miezi sita hadi mwaka wanyonge masikini watafute pesa ndani ya muda huo warasimishiwe.
Kinyume na agizo hilo baada ya waziri kuondoka maafisa hawa wa ardhi na mkurugenzi wa jiji walitoa muda wa wiki moja hadi mwezi na taarifa haikutolewa kiuhalali kwa wananchi hivyo wengi wao kukwama. Kilichofuata ni vishoka kupita usiku na kuuza viwanja walivyo vipenda kwa idhini ya maafisa ardhi na hata beacon huwekwa usiku mashahidi ni wakazi wenyewe wa Kasera Kange.
Mkuu wa wilaya ameunda kamati ambayo inashindwa kumkabili Toni kwani aliyowauzia viwanja vya wanyonge wanaendelea kujenga tena kwa dharau kubwa. Kamati ni jambo la maana lakini haiwezi kuwakabili Toni na Mkurugenzi eti wanabaraka za msajili wà hazina kutafuta pesa kwa ajili ya manispaa ambayo ili feli kufikia lengo kimapato.
Wananchi zaidi ya sabini tayari wamefikisha malalamiko yao mbele ya kamati ya DC lakini ni watu wawili tu wamerejeshewa viwanja vyao mmoja akiwa ni mwanajeshi. Tunaomba serikali iingilie kati hili suala wananchi hawana imani na hawa vingozi waliotajwa hapa Tanga.
Kinyume na agizo hilo baada ya waziri kuondoka maafisa hawa wa ardhi na mkurugenzi wa jiji walitoa muda wa wiki moja hadi mwezi na taarifa haikutolewa kiuhalali kwa wananchi hivyo wengi wao kukwama. Kilichofuata ni vishoka kupita usiku na kuuza viwanja walivyo vipenda kwa idhini ya maafisa ardhi na hata beacon huwekwa usiku mashahidi ni wakazi wenyewe wa Kasera Kange.
Mkuu wa wilaya ameunda kamati ambayo inashindwa kumkabili Toni kwani aliyowauzia viwanja vya wanyonge wanaendelea kujenga tena kwa dharau kubwa. Kamati ni jambo la maana lakini haiwezi kuwakabili Toni na Mkurugenzi eti wanabaraka za msajili wà hazina kutafuta pesa kwa ajili ya manispaa ambayo ili feli kufikia lengo kimapato.
Wananchi zaidi ya sabini tayari wamefikisha malalamiko yao mbele ya kamati ya DC lakini ni watu wawili tu wamerejeshewa viwanja vyao mmoja akiwa ni mwanajeshi. Tunaomba serikali iingilie kati hili suala wananchi hawana imani na hawa vingozi waliotajwa hapa Tanga.