78Kuku
JF-Expert Member
- Mar 31, 2021
- 562
- 754
Au mnangoja mpaka ziara za viongozi ndo muache ubabaishaji wenu?
Toka juzi mmefungua nyaya za umeme ili uweze kukatwa mti ( nadhani hamkutaka mti uzingukie nyaya na kuleta madhara). Sa ajabu limekuja tayari zoezi la kukata miti katika hilo eneo kijiji cha Kamishango Kata ya Ikondo wilaya Muleba mkoa Kagera mmegoma kuja kuunganisha tena waya na mkipigiwa simu hampokei mmesababisha watu wanalala gizani leo siku ya pili, mnakwamisha shughuli za watu kwa uzembe wenu.
Kama mmeshindwa kazi acheni ofisi za umma waingie watu wenye weledi .
Mna madudu mengi sana ikiwemo kuomba rushwa kwa watu ili muwafungie umeme kwa haraka, kuwaibia watu meter na kuwauzia kwa mara ya pili na mengine mengi. Hali hii ya kukaa gizani ikiendelea tutawatoa humo ofisini kwa mapanga na marungu.
cc.tanesco makao makuu
cc.tanesco kanda ya ziwa
cc.tanesco kagera
Toka juzi mmefungua nyaya za umeme ili uweze kukatwa mti ( nadhani hamkutaka mti uzingukie nyaya na kuleta madhara). Sa ajabu limekuja tayari zoezi la kukata miti katika hilo eneo kijiji cha Kamishango Kata ya Ikondo wilaya Muleba mkoa Kagera mmegoma kuja kuunganisha tena waya na mkipigiwa simu hampokei mmesababisha watu wanalala gizani leo siku ya pili, mnakwamisha shughuli za watu kwa uzembe wenu.
Kama mmeshindwa kazi acheni ofisi za umma waingie watu wenye weledi .
Mna madudu mengi sana ikiwemo kuomba rushwa kwa watu ili muwafungie umeme kwa haraka, kuwaibia watu meter na kuwauzia kwa mara ya pili na mengine mengi. Hali hii ya kukaa gizani ikiendelea tutawatoa humo ofisini kwa mapanga na marungu.
cc.tanesco makao makuu
cc.tanesco kanda ya ziwa
cc.tanesco kagera