TANESCO wanamhujumu Magufuli na Silaa

TANESCO wanamhujumu Magufuli na Silaa

Acha kuwayawaya , afanye research kwani yeye mtumishi wa Tanesco au anasomea mambo ya electric distribution. TANESCO wenyewe hawajasema lolote sasa wewe uo utafiti uufanye kwa gharama za nani?!! mashaka yanakuja zaidi umeme kukatwa kila saa moja hasa siku UKAWA inapokuwa na tukio muhimu.
N.B. CCM ijue inapokata umeme inasababisha huduma kama maji kukosekana hivyo kuongeza chuki kwa wapiga kura, pia karaha kubwa iko hospital kwa wagonjwa wanaohitaji kufanyiwa upasuaji na kufanyiwa vipimo mbalimbali. Naishauri CCM ifikirie njia nyingine ya kuthibiti wapinzani na siyo hii inayoiongezea CCM chuki kubwa kwa wapiga kura, kama tabia hii itaendelea CCM subirini kipigo kikali octoba.

Very well said!
 
Lukolo

Jerry Silaa hawezi kuwa mgombea ubunge wa ilala, maccm ya Ukonga yanamtaka muhindi.
 
Last edited by a moderator:
MACCM bwana wametangaza ndani ya chombo cha watunga sharia bungeni na kujiapiza eti tatizo la umeme litakuwa ndoto halafu tunashangaa bado linaendelea hii si haki
 
Kwa hiyo umeme wakikatiwa CCM ndio Tanesco wanahujumu wagombea wa CCM ila wakikatiwa UKAWA Tanesco wako sahihi?

Aise!!!!!! hebu soma heading ukiwa umetulia, then jijibu mwenyewe. Ndg wana janvi, yani humu ndio kuna great thinkers tupu,? wengine Mmmmmmmmh
 
Rais - lowassa
Waziri mkuu - Mbowe
Waziri wa fedha- Anthony Komu
Waziri wa afya - Gidbles Lema
Waziri wa nishati - Henry Kilewo
Waziri wa miundombinu - nassari
Waziri wa ofisi ya rais (tamisemi) Ole medeye
Waziri wa sheria na katiba - halima mdee
Waziri wa ardhi - John mrema
Waziri wa ujenzi - James Mbatia
Jamani tunauza nchi mchana kweupee.... Ikulu sio
kilabu cha mbege!
 
Rais - lowassa
Waziri mkuu - Mbowe
Waziri wa fedha- Anthony Komu
Waziri wa afya - Gidbles Lema
Waziri wa nishati - Henry Kilewo
Waziri wa miundombinu - nassari
Waziri wa ofisi ya rais (tamisemi) Ole medeye
Waziri wa sheria na katiba - halima mdee
Waziri wa ardhi - John mrema
Waziri wa ujenzi - James Mbatia
Jamani tunauza nchi mchana kweupee.... Ikulu sio
kilabu cha mbege!
Unashaurije?
 
Back
Top Bottom