TANESCO Vs Mgao wa Umma Tz

Ta Kamugisha

JF-Expert Member
May 17, 2011
3,536
2,187
Kiukweli uko miaka ya nyuma palikuwa na nini? Kwanini kwenye ukame kama huu tena Miami hatujasikia mgao wa umeme kama kipindi kile Waziri akiwa Mh. Ngeleja?

Je, Ni kweli huu mgao ulikuwa unatengenezwa ili wafanyabiashara wauze majenereta na mafuta yao mazito?

Je,Ni kweli Prof. Muhongo amekuwa dawa ya mgao wa umeme Tanzania?

Je, Ni kweli watu au watumishi wa TANESCO walikuwa wanalihujumu hili shirika?

Kama ni kweli hawa watu walikuwa wanatengeneza migao ya makusudi, mpaka sasa wamechukuliwa hatua gani?
 
Kiukweli uko miaka ya nyuma palikuwa na nini? Kwanini kwenye ukame kama huu tena Miami hatujasikia Mgao wa umeme kama kipindi kile Waziri akiwa Mh Ngereja?

Je ni kweli huu Mgao ulikuwa unatengenezwa ili wafanyabiashara wauze majenereta na mafuta yao mazito?

Je ni kweli prof Muhongo amekuwa dawa ya Mgao wa umeme Tanzania?

Je, ni kweli watu au watumishi wa Tanesco walikuwa wanalihujumu hili shirika?

Kama ni kweli hawa watu walikuwa wanatengeneza migao ya makusudi, mpaka sasa wamechukuliwa hatua gani?

Mkuu kwani uko nje ya nchi mbona kuna kamgao ka kimya kimya au umeamua kujitoa kimasomaso kumpaisha au kumpa promo professor.
 
Nchi hii ilikuwa na mambo ya aibu sana, Suala la umeme ni suala nyeti, lakin lilikuwa tatzo kubwa sana Tz.
 
Kiukweli uko miaka ya nyuma palikuwa na nini? Kwanini kwenye ukame kama huu tena Miami hatujasikia Mgao wa umeme kama kipindi kile Waziri akiwa Mh Ngereja?

Je ni kweli huu Mgao ulikuwa unatengenezwa ili wafanyabiashara wauze majenereta na mafuta yao mazito?

Je ni kweli prof Muhongo amekuwa dawa ya Mgao wa umeme Tanzania?

Je, ni kweli watu au watumishi wa Tanesco walikuwa wanalihujumu hili shirika?

Kama ni kweli hawa watu walikuwa wanatengeneza migao ya makusudi, mpaka sasa wamechukuliwa hatua gani?
Kahama kila siku kuna Mgao wa Umeme... Na unakatika Mapema Asubuhi kurudi ni saa moja jioni.

Kishapu nimekaa week zima wanaouna Umeme jioni tu...labda kama hali imebadilika week tatu hizi
 
Uku arusha ndo kabisaaa yaan toka mwaka jana sijawai ona umeme upo kwa masaa 24 bila kukatika
 
Mkuu kwani uko nje ya nchi mbona kuna kamgao ka kimya kimya au umeamua kujitoa kimasomaso kumpaisha au kumpa promo professor.

Nipo hapa hapa Tanzania ila kiukweli miaka ya nyuma Hali ilikuwa mbaya tofauti na sasa kwani kuna kipya tanesco
 
Kahama kila siku kuna Mgao wa Umeme... Na unakatika Mapema Asubuhi kurudi ni saa moja jioni.

Kishapu nimekaa week zima wanaouna Umeme jioni tu...labda kama hali imebadilika week tatu hizi

Uongo hata mm nipo Kahama mkuu
 
Back
Top Bottom