KERO TANESCO umeme usiku kucha mpaka sasa hakuna Bunju

KERO TANESCO umeme usiku kucha mpaka sasa hakuna Bunju

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Mzalendo03

Member
Joined
Feb 18, 2025
Posts
6
Reaction score
8
Shida ni nini? Juzi mnasema umeme ni mwingi kupita matumizi shida mgao. Hii kauli haieleweki kukiwa na kukatika kwa umeme kama hivi.

Tutaweza kuuza umeme kwa jirani kweli kama alivyosema Rais Samia
 
Back
Top Bottom