Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,767
- 29,721
Wadau,
Hivi karibuni mamlaka ya hali ya hewa ilitangaza kuongezeka kwa joto kutokana na Jua kusogea karibu zaidi kutokana na kua juu ya Ikweta. Sasa basi tangazo au habari hizi niwazi sote tulizisikia wakiwemo watendaji wa TANESCO.
Ukweli muda kama huu wa mchana majumbani ni AC na mafeni mtindo mmoja lasivyo mtu unaungua bila kujijua. Hatuna uwezo wa Solar wala Jenereta na wala sio wote tuliobahatika kujenga maeneo ya ufukwe au milimani kwenye upepeo wa asili. Hiki ndicho kile kipindi ambacho wangekua na huruma tu na sisi tukaendelea kuwalipa hizo charges zao kwa kuwahsa feni 24/7.
Kutukatia umeme kipindi hiki cha joto ni kutukatili na kutuchumia dhambi za bure maana tunajikuta tunatoa maneno ya hasira either kimoyomoyo au kwa wazi kwa TANESCO. Tunaomba tusichumiane dhambi enyi TANESCO, kuweni na huruma na sisi wanachi. Ingekua hata tuko kipindi cha baridi tungeona poa tu, lakini sio kwa sasa jamani.
Kutoka Jasho jingi inaweza kua ni nzuri ki afya kwa mwili kutoa uchafu lakini sasa jasho tunalolitoa huku tunaungua ngozi na tumekunja uso kwa hasira sidhani kama lina afya na faida peke yake bila madhara. Kwanza Jasho linalotoka kuanzia asubuhi hadi TANESCO wakirudisha umeme jioni ni jingi sana hivyo litakua lina hasara tu.
Chondechonde wahusika wa TANESCO pamoja na Waziri + Rais, tuoneeni huruma sisi wancnhi wa kipato cha chini tusioweza kumudu Solar au jenereta za kusukuma Mafeni au AC.
Hivi karibuni mamlaka ya hali ya hewa ilitangaza kuongezeka kwa joto kutokana na Jua kusogea karibu zaidi kutokana na kua juu ya Ikweta. Sasa basi tangazo au habari hizi niwazi sote tulizisikia wakiwemo watendaji wa TANESCO.
Ukweli muda kama huu wa mchana majumbani ni AC na mafeni mtindo mmoja lasivyo mtu unaungua bila kujijua. Hatuna uwezo wa Solar wala Jenereta na wala sio wote tuliobahatika kujenga maeneo ya ufukwe au milimani kwenye upepeo wa asili. Hiki ndicho kile kipindi ambacho wangekua na huruma tu na sisi tukaendelea kuwalipa hizo charges zao kwa kuwahsa feni 24/7.
Kutukatia umeme kipindi hiki cha joto ni kutukatili na kutuchumia dhambi za bure maana tunajikuta tunatoa maneno ya hasira either kimoyomoyo au kwa wazi kwa TANESCO. Tunaomba tusichumiane dhambi enyi TANESCO, kuweni na huruma na sisi wanachi. Ingekua hata tuko kipindi cha baridi tungeona poa tu, lakini sio kwa sasa jamani.
Kutoka Jasho jingi inaweza kua ni nzuri ki afya kwa mwili kutoa uchafu lakini sasa jasho tunalolitoa huku tunaungua ngozi na tumekunja uso kwa hasira sidhani kama lina afya na faida peke yake bila madhara. Kwanza Jasho linalotoka kuanzia asubuhi hadi TANESCO wakirudisha umeme jioni ni jingi sana hivyo litakua lina hasara tu.
Chondechonde wahusika wa TANESCO pamoja na Waziri + Rais, tuoneeni huruma sisi wancnhi wa kipato cha chini tusioweza kumudu Solar au jenereta za kusukuma Mafeni au AC.