Ukawa ni hatari, Serikali ya Magamba Wamejinyenyea baada ya kusikia kuwa Ukawa Watakuwa Na Mkutano wa ki Historia Mwanza,Na Kuamuru TANESCO Kuhahakikisha watu hawafuatilii kinachoendelea Mkutanoni kwa Kukata Umeme Maeneo Mbalimbali ya Nchi,Bongo ni zaidi ya uijuavy
SINA IMANI NA UKAWA
Shame on You!!!