kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,635
- 7,005
Miaka yote mnakata umeme kila jumapili,na sasa mlipumzika kidogo kukata umeme hata hiyo jpili,leo mmeona kuna match kubwa mmeamua kukata umeme,hivi mna hisa na wamiliki wa vibanda umiza?mnaboa sana,au mnataka twende kwenye match ya stand na mwadui?Kama ni hivyo kuanzia leo naiombea njaa stand united ishuke ili msikate umeme tena!