Bondpost
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 6,587
- 9,324
Great thinkers, ninashangazwa na hili shirika la umeme, wanakata umeme hovyohovyo, bei ya umeme wamepandisha ili huduma ziboreshwe, kila kitu kimepanda bei sababu ya TANESCO.
Sasa wamekata umeme maeneo ya mbezi beach ni kila jumapili tunakaa bila umeme, ninajisikia hasira sana maana hakuna wanachofanya zaidi ya kutuumiza wananchi.
TANESCO inasubiri nini kubinafsishwa?
Sasa wamekata umeme maeneo ya mbezi beach ni kila jumapili tunakaa bila umeme, ninajisikia hasira sana maana hakuna wanachofanya zaidi ya kutuumiza wananchi.
TANESCO inasubiri nini kubinafsishwa?