TUMBOO
JF-Expert Member
- Jun 27, 2014
- 3,827
- 2,027
ndugu zangu kama mjuavyo serikali ndio viongozi wetu.......tunaomba mtuonee huruma na huu mgao unaoendelea nchini na isitoshee sehem mnazoona zinawaingizia kodi nyingi mbona hamkati kwamba wao iyo gesi haiwahusu na mitaa mnayoishi pia mbona umeme haukatiki ni kwamba hamjui kero na shida tunazopata wananchi wenu....sio siri mnatuumiza sana na huu mgao, kama hapa morogoro mgao umeanza tangu tarehe 13 mwezi july, mnategemea sisi tutaishi vipi ...
ngoja 25 oct ifike ndio mtajua hasira zetu wananchi mmetutesa sana sasa inatosha..
namaliza kwakusema viva lowasa... kura yangu ni kwako ENL..
ngoja 25 oct ifike ndio mtajua hasira zetu wananchi mmetutesa sana sasa inatosha..
namaliza kwakusema viva lowasa... kura yangu ni kwako ENL..