Kila nikinunua LUKU kwa simu aidha luku inachelewa au pesa inapotea bila kupata huo umeme. Pili, nawatahadharisha wateja wa NMB msithubutu kununua umeme kupitia NMB mobile kwani watakuletea meseji yenye namba za umeme itakayo-display kwa sekunde tano then itafutika na haitarudi tena kamwe! Mi nilishaliwa 15,000 na 10,000 nikakoma kabisa.