JOYSTICK
JF-Expert Member
- May 6, 2014
- 221
- 57
TANESCO hata kabla ya kutangaza kuwa mtakata umeme kwa wiki mbili mfululizo kwetu huku mlikuwa mnakata bila hata taarifa lakini kibongo bongo tunavumilia.Sasa ilivoanza hizi wiki 2 ndo imekuwa shida maana mnakata toka saa moja asubuhi mpaka saa6 usiku ndio mnarudisha wakati huo pale Banana na maeneo mengine umeme upo,ukipigia marafiki wanaokaa maeneo mengine wanakwambia umeme umerudi Kipunguni umeme bado.Jamani kwanini?
Kuna nini Kipunguni mnatuonea hivo kila siku umeme unakatwa tu hukuu tena masaa mengi zaidi ya sehem zingine?Kwanini au kuna mbaya wenu mnataka kumkomoa au maana kiukweli ni kilio cha wakazi wote wa Ukonga Kipunguni.
Tafadhali jirekebishen maana huu ni uonevu.
Kuna nini Kipunguni mnatuonea hivo kila siku umeme unakatwa tu hukuu tena masaa mengi zaidi ya sehem zingine?Kwanini au kuna mbaya wenu mnataka kumkomoa au maana kiukweli ni kilio cha wakazi wote wa Ukonga Kipunguni.
Tafadhali jirekebishen maana huu ni uonevu.