BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,163
Nimekuja zangu sehemu fulani wilaya ya Temeke kusimamia mafundi kazi moja iliyohitaji umeme........ Kufika naambiwa TANESCO wazee wa kuangaza maisha wamekata umeme toka saa tisa usiku.......kuwapigia TANESCO wanadai kuna hitilafu hawajui iko wapi hivyo hawajui kama watarudisha au la......
Ikabidi nitafute alternative ili kazi iendelee......(hii inamaanaisha kuingia gharama za ziada)
Hivi wazima nyie??????? Tutafika kweli kwa staili hiyo?
Aaaaaargggggh
Ikabidi nitafute alternative ili kazi iendelee......(hii inamaanaisha kuingia gharama za ziada)
Hivi wazima nyie??????? Tutafika kweli kwa staili hiyo?
Aaaaaargggggh