Ndugu zangu nimetoka kuongea nao wanasema wamechoka kukosekana kwa umeme.
Jumapili badała ya kutengeneza Juisi nzuri unywe umeme hakuna,
Ulale upumzike uwashe AC umeme hakuna,
Uangalie TV upate Habari za ulimwengu umeme hakuna,
Kwa ważalishaji mali kama vile saluni, grilling , n.k umeme hakuna,
Jamani !