Na hilo ndio lengo lao kwasababu sio kweli kama hawawezi kutatua hilo tatizo ila wanataka tuingie kwenye mfumo kama hvyo kununua solar na ma generator ili mambo yao yaende.Tukipata unafuu wa kipato, tujitahidi kuweka backup ya umeme wa solar. Huwa unasaidia sana kupunguza hizi stress za TANESCO.
PoleeJuzi umeme umekatika usiku pia kulikuwa na mvua vibaka wakatumia huo mwanya kuiba drum langu la liter 250 Yan nimeumia sana mbaya zaidi walimwaga maji Kisha wakaiba
Sehemu gani mkuu?? Mbona hapa kwetu Mikanjuni upo??Tanga
Asante MkuuPolee
Kitunda hakuna umemeWapi ukoo Mkuu ? Maana uku kwetu pia akuna
Tatizo sio nchi Bali kuna wazembe wachache wanatuharibiaHata mm nilipo ni giza yaani hili linchi lina mambo ya ajabu.
Sasa mkuu ulitaka wakuamshe ufaulishe maji kwingine ndio waondoke na drum lakoJuzi umeme umekatika usiku pia kulikuwa na mvua vibaka wakatumia huo mwanya kuiba drum langu la liter 250 Yan nimeumia sana mbaya zaidi walimwaga maji Kisha wakaiba
SahihMakosa waafanyayo kuweka nguzo karibu na maji lazima ilete mushkeli mda flani. Extrovert View attachment 2843554
Tanesco wameshavunja miko ya kazi hapoMakosa waafanyayo kuweka nguzo karibu na maji lazima ilete mushkeli mda flani. Extrovert View attachment 2843554
Ah ah Mkuu omba yasikukuteSasa mkuu ulitaka wakuamshe ufaulishe maji kwingine ndio waondoke na drum lako
Tanesco manned by whoeverahhh nimecheka,,unatoa laana kwa nani sasa
Walikuwa wanahamisha nguzo za umeme barabara ya pangani kuanzia Tagasisi.........mpaka saa 2 usiku na toka asubuhi.......Sehemu gani mkuu?? Mbona hapa kwetu Mikanjuni upo??
exactly, nakuapia wasingelikata umeme hovyo hovyoHawa wangelipwa mishahara kwa masaa ya uwepo wa umeme akili zzingewarudi sawa
Kuna backup system moja nimeona jamaa huko insta wanatangaza ukitaka wanakufungia sema bei zake zimeshiba ni 6 ml na nyingine ya 12 ml. Ile umeme ukikata inasukuma mzigo kama kawaida kuanzia a.c mafrini na kadhalika kwa zaidi ya saa 24.aTukipata unafuu wa kipato, tujitahidi kuweka backup ya umeme wa solar. Huwa unasaidia sana kupunguza hizi stress za TANESCO.
Haha..kuna jirani yangu aliibiwa tank la maji. Kwa kuwa lilikuwa na maji walikuja na kigodoro wakakiweka chini ya koki wakafungulia maji ili yakiwa yanamwagika mwenye nyumba asisikie. Jirani anaamka asubuhi anakuta godoro bichi na tank wameenda naloAh ah Mkuu omba yasikukute
That is damn expensive for domestic use of a family of 4Kuna backup system moja nimeona jamaa huko insta wanatangaza ukitaka wanakufungia sema bei zake zimeshiba ni 6 ml na nyingine ya 12 ml. Ile umeme ukikata inasukuma mzigo kama kawaida kuanzia a.c mafrini na kadhalika kwa zaidi ya saa 24.a
Yenyewe inakuwa inahifadhi umeme kutoka umeme wa Tanesco si kwamba ni ya solar
Ah ah nimecheka sana Yani ilo tukio walilipanga muda mrefu sana hadi waje na gorodo sio poaHaha..kuna jirani yangu aliibiwa tank la maji. Kwa kuwa lilikuwa na maji walikuja na kigodoro wakakiweka chini ya koki wakafungulia maji ili yakiwa yanamwagika mwenye nyumba asisikie. Jirani anaamka asubuhi anakuta godoro bichi na tank wameenda nalo