TANESCO kuna nini?

TANESCO kuna nini?

Kwani Njanuari Marope yy anasemaje?km hujamcheki mzamie inbox twitter...
 
Pole sana...
Ngoja waje kukupa muongozo Kwa kukuomba location...
 
Nimelipia umeme mwezi wa nane leo mwezi wa 11 hakuna hata dalili za kufungiwa umeme.naishi gizani.bora garama za kufungiwa umeme ziwe laki tano tufungiwe kwa wakati
Kama umelipia ile ya toleo la juzi, subiri miezi 6
 
Nimelipia umeme mwezi wa nane leo mwezi wa 11 hakuna hata dalili za kufungiwa umeme.naishi gizani.bora garama za kufungiwa umeme ziwe laki tano tufungiwe kwa wakati
Mbona huna uvumilivu, umekaa na vibatari kwa muda gani leo miezi hiyo michache unapiga kelele. Vumilia kwa mwaka mmoja ndo uje utupe taarifa
 
Mbona huna uvumilivu, umekaa na vibatari kwa muda gani leo miezi hiyo michache unapiga kelele. Vumilia kwa mwaka mmoja ndo uje utupe taarifa
Mtu mwenyewe kalipia 27,000 tu lakini kelele utafikiri kalipa milioni. Bora Tanesco wamrudishe hela yake akanunua mafuta ya taa.
 
Nimelipia umeme mwezi wa nane leo mwezi wa 11 hakuna hata dalili za kufungiwa umeme.naishi gizani.bora garama za kufungiwa umeme ziwe laki tano tufungiwe kwa wakati
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Namba ya taarifa

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja
 
TANESCO rudisheni umeme Kibaha leo Ni sikukuu!!!!!!!
Inakuwaje kila siku muhimu Kibaha mnakata umeme?
 
TANESCO rudisheni umeme Kibaha leo Ni sikukuu!!!!!!!
Inakuwaje kila siku muhimu Kibaha mnakata umeme?
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Namba ya taarifa

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja
 
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tunafurahia kukuhudumia kupitia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora.

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Namba ya taarifa

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja
Hata Tanesco ya Mlandizi tumelipia tokea mwezi 8 lakini kila siku danadana hawaji kufunga
 
Onesha taarifa kamili tafadhali
Umeshaambiwa mlandizi bado unauliza taarifa kamili? Mko serious kweli nyie watu? Hamna database ya maombi ya kufungiwa umeme? Hamuwezi angalia mlandizi alipotaja muungwana hapo juu? Ama database yenu inasoma wote waliomba umeme mlandizi wameshapata umeme?
 
Umeshaambiwa mlandizi bado unauliza taarifa kamili? Mko serious kweli nyie watu? Hamna database ya maombi ya kufungiwa umeme? Hamuwezi angalia mlandizi alipotaja muungwana hapo juu? Ama database yenu inasoma wote waliomba umeme mlandizi wameshapata umeme?
Ufafanuzi

Database inaendana na taarifa kamili ili kuona unachosema kwa kuwa hauwezi kusearch taarifa bila kuwa na taarifa zinazokusaidia kuona
 
Hujafuatilia Mkuu. Tanesco WA sasa wako vizuri... Tu ila uwape ushirikiano wako
 
Haya endeleeni kusubiria hizo taarifa ofisini
Ufafanuzi

Mteja mwema na mwenye nia njema anashauriwa kuwa anatoa ushirikiano kwa kuwa bila kufanya hivyo hakuna hatua zinazoweza kuchukuliwa, hata ukienda bank hauwezi kusema sina acc namba angalieni kwenye database, hivyo ni vema wateja wetu mkajenga utamadumi wa kutoa taarifa kamili kwa huduma bora.wakati mwingine tumeshuhudika wengine wakiandika page nzima lalamiko mnamfikia hana tatizo lolote anasema nalalamikia wengine ndio maana tunashauri kutoa taarifa kamili.
 
Back
Top Bottom