Wana jf kwa mujibu wa taarifa ya habari ITV wafanyakazi wa tanesco watangaza maandamano nchi nzima kupinga malipo ya DOWANS je ni uzalendo umefika
Hii ni janja yao, kimsingi serikali imegundua harakati ndizo zinazoupa upinzani nguvu, hivyo ili kupunguza nguvu ya upinzani kile ambacho kinataka kufanywa na upinzani kinapokwa ili upinzani utakapokuja kujifanya wanataka kufanya inakuwa ni kama marudio na hoja inakosa mashiko. Tanesco kuandamana ni changa la macho,
Wana jf kwa mujibu wa taarifa ya habari ITV wafanyakazi wa tanesco watangaza maandamano nchi nzima kupinga malipo ya DOWANS je ni uzalendo umefika
Sidhani kama serikali wanahusika. Hv umewasahau wafanyakazi wa Tanesco kwa upraisings za ukweli? Plz consult ur library, sasa hapa serikali ikae chonjo kumbuka umeme ni ishu bongo na ikiwa wafanyakazi wa umeme ndo wanagoma hapo pagumu. Tuombe kwa mungu jamani ya wenzetu tuyaone aljazeera tu! Ila sio ishu waandamane tu kwani kitu gani bunge limeshinda itakuwa wao! Haya tuone! Mwenye lake moyoni aseme!
Wana jf kwa mujibu wa taarifa ya habari ITV wafanyakazi wa tanesco watangaza maandamano nchi nzima kupinga malipo ya DOWANS je ni uzalendo umefika