Kaka paschal tanesco inafanya kazi kwa mujibu wa sheria kanuni na taratibu,hivyo ni vyema ukawasiliana na viongozi wa serikali katika eneo lako kuliko kupotosha umma kupitia mtandao,kwa kuwa hadi sasa tanesco waichokifanya ni hatua z awali tu,na pia zipo taratibu za kulipa fidia zipo na serikali hapo vigwaza wanalielewa hilo vzr.mm binafsi ni mkazi wa hapa sasa sioni hoja ya msingi hapa kwa kuwa ndio jambo lenyewe limeanza na mwenye mamlaka ya kubadili matumizi ya ardhi ni Rais pekee.