rushanju
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 3,131
- 4,619
Kuanzi mwezi wa 5/2015 wapima njia ya msongo mkubwa wa umeme kutoka kinyerezi kwenda chalinze walipima nakutukataza tusifanye maedeleo yoyote kwa mdomo.
Chakushangaza hakuna karatasi yoyote waliyo tupatia ili baada miezi 6 tuweze kudai fidia. Ninapo andika uzi huu tunaelekea mwezi wa 3 tangia waondoke. Je endapo watatuletea hizo form walizo tuhaidi zitaanzia mwezi wa 5/2015 au zitaanzia tarehe zitakapoletwa? Je ni haki kuzuiliwa miezi 3 mitatu bila kuwa na ushahidi wowote?
TANESCO ni shirika kubwa na kongwe limepitia misukosuko mingi najua haliogopi malalamiko ya wanyonge kama sisi. Uchumi wa kati wa matumizi ya gas hauwezi kuja kwa mtindo huu. Kumbe watu wa mtwara walikuwa sahihi kugomea mradi huu wa gas.
Kusema kweli hamko wazi.
Nawengine wanaoguswa changia.
Chakushangaza hakuna karatasi yoyote waliyo tupatia ili baada miezi 6 tuweze kudai fidia. Ninapo andika uzi huu tunaelekea mwezi wa 3 tangia waondoke. Je endapo watatuletea hizo form walizo tuhaidi zitaanzia mwezi wa 5/2015 au zitaanzia tarehe zitakapoletwa? Je ni haki kuzuiliwa miezi 3 mitatu bila kuwa na ushahidi wowote?
TANESCO ni shirika kubwa na kongwe limepitia misukosuko mingi najua haliogopi malalamiko ya wanyonge kama sisi. Uchumi wa kati wa matumizi ya gas hauwezi kuja kwa mtindo huu. Kumbe watu wa mtwara walikuwa sahihi kugomea mradi huu wa gas.
Kusema kweli hamko wazi.
Nawengine wanaoguswa changia.