Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,346
- 26,143
Wote wawili wanatoa huduma za jamii za umeme na maji kama walivyotajwa. Muda huu,huku kwetu Mikocheni,kila mmoja amekata huduma yake. Wananchi wanasubiri kwa hamu huduma zirudi. Si TANESCO wala DAWASCO anayejali. Wao wanaendelea kuboresha huduma zao kwa njia ya 'migawo'. Wako juu!