TANESCO acheni unyang'anyi huu

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Jan 26, 2013
18,675
22,265
Wiki hii baadhi ya wakazi wa Mbagala wamebadilishiwa mita za umeme, baadhi ya mita zilikuwa na salio la unit za umeme, hizo uniti TANESCO wamezichukua badala ya kuziweka kwenye mita mpya, huu ni wizi, warudishieni uniti zao mliowabadilishia mita.
 
Wiki hii baadhi ya wakazi wa Mbagala wamebadilishiwa mita za umeme, baadhi ya mita zilikuwa na salio la unit za umeme, hizo uniti Tanesco wamezichukua badala ya kuziweka kwenye mita mpya, huu ni wizi, warudishieni uniti zao mliowabadilishia mita.
Hata zingekuwepo mngelipia, hili li roho la umaskini likatae
 
Hata zingekuwepo mngelipia, hili li roho la umaskini likatae
Unapowekewa mita mpya inakuwa na unit za sh 10,000/= ambazo unatakiwa uzilipe, wakati unawalipa Tanesco wao wamechukua unitd zako zaidi ya hizo zao.

Hizo walizizichukua wanakuambia zimepotea! Eti mita haina umeme kwahiyo hawawezi kuzisoma! Huu ni unyang'anyi.
 
Back
Top Bottom