Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,985
- 25,200
Sina Alama ya siasa ila matendo yangu na fikra zangu zina itikadi ya kisiasa.
Naichukia Siasa mnayoiita Democracy kwa lugha ya kizungu, siasa mnayosema inaleta Amani kumbe ndio chanzo kikubwa cha mauaji Duniani.
Siasa au Democracy ni dubwasha lililoletwa na waloezi wa kizungu ili kufitinisha Amani na umoja katika jamii zetu.
Leo hii siasa inataka kufanya Yule aliyopo Chadema kumchukia yule wa ccm ata kama ni Ndugu yake wa Damu eti ni kwa sababu ya tofauti baina ya vyama vyao na sio kitu kingine.
Tofauti ya kiitikadi inatufanya tuchelewe katika maendeleo ya Nchi yetu,tofauti ya vyama inaturudisha Nyuma Miaka 1000 zaidi .
Sina itikadi ya kijamaa ila ujamaa katika maendeleo ni Afya kuliko Democracy iliyojaa umimi ndani yake.
Jana iliyotawaliwa na MTEMI AU CHIEF Katika Uongozi inaonekana ilikuwa bora kuliko Leo inayotawaliwa na cheo kilichopewa jina La Uraisi.
Japo hauwezi kushindana na Muda kwa sababu muda ndio ulioleta hayo yote unayoyaona.
Muda ulileta teknolojia hii tunayoitumia leo japo jana haikuepo sasa kwa sababu siku zinaenda basi huwezi kushindana na muda ata kama utakamata wote wanaojaribu kuhoji .
inawezekana labda aliyeanzisha Democracy alikuwa na nia Njema kabisa lakini shida ipo kwa hao wanademokrasia(Wanasiasa)
Sipendi kuichukia siasa lakini wanasiasa wanafanya mpaka naichukia siasa ,
Nikisikia maneno yao Matamu yaliyo na Ushawishi midomoni mwao ni tofauti kabisa na Matendo yao.
Democracy imekuwa ya kuendeshwa kwa publicity(matukio)na sio maendeleo tena kama ilivyo Aim(dhumuni) ya kuundwa kwake.
Democracy ndio inayoleta maandamano yanayoisha kwa mauaji pande zote za Dunia, Democracy ndio inayoibua makundi ya kigaidi kwa mgongo wa kudai haki kwenye Utawala.
Democracy ndio inayoleta utengano katika Jamii yetu kwa sasa.
Kwa nini tusiwe Pamoja na kufanya kila kitu Kwa Umoja badala ya kuendeshwa na Dubwana hili linaloitwa siasa.
Mimi na wewe Ni ndugu kwa nini tugombane kwa sababu ya mihemko ya kisiasa,
Tuwaache wanasiasa wagombane wao kwa wao kwa sababu wanagombania kuyajenga Maisha yao na familia Zao.
...........!
Naichukia Siasa mnayoiita Democracy kwa lugha ya kizungu, siasa mnayosema inaleta Amani kumbe ndio chanzo kikubwa cha mauaji Duniani.
Siasa au Democracy ni dubwasha lililoletwa na waloezi wa kizungu ili kufitinisha Amani na umoja katika jamii zetu.
Leo hii siasa inataka kufanya Yule aliyopo Chadema kumchukia yule wa ccm ata kama ni Ndugu yake wa Damu eti ni kwa sababu ya tofauti baina ya vyama vyao na sio kitu kingine.
Tofauti ya kiitikadi inatufanya tuchelewe katika maendeleo ya Nchi yetu,tofauti ya vyama inaturudisha Nyuma Miaka 1000 zaidi .
Sina itikadi ya kijamaa ila ujamaa katika maendeleo ni Afya kuliko Democracy iliyojaa umimi ndani yake.
Jana iliyotawaliwa na MTEMI AU CHIEF Katika Uongozi inaonekana ilikuwa bora kuliko Leo inayotawaliwa na cheo kilichopewa jina La Uraisi.
Japo hauwezi kushindana na Muda kwa sababu muda ndio ulioleta hayo yote unayoyaona.
Muda ulileta teknolojia hii tunayoitumia leo japo jana haikuepo sasa kwa sababu siku zinaenda basi huwezi kushindana na muda ata kama utakamata wote wanaojaribu kuhoji .
inawezekana labda aliyeanzisha Democracy alikuwa na nia Njema kabisa lakini shida ipo kwa hao wanademokrasia(Wanasiasa)
Sipendi kuichukia siasa lakini wanasiasa wanafanya mpaka naichukia siasa ,
Nikisikia maneno yao Matamu yaliyo na Ushawishi midomoni mwao ni tofauti kabisa na Matendo yao.
Democracy imekuwa ya kuendeshwa kwa publicity(matukio)na sio maendeleo tena kama ilivyo Aim(dhumuni) ya kuundwa kwake.
Democracy ndio inayoleta maandamano yanayoisha kwa mauaji pande zote za Dunia, Democracy ndio inayoibua makundi ya kigaidi kwa mgongo wa kudai haki kwenye Utawala.
Democracy ndio inayoleta utengano katika Jamii yetu kwa sasa.
Kwa nini tusiwe Pamoja na kufanya kila kitu Kwa Umoja badala ya kuendeshwa na Dubwana hili linaloitwa siasa.
Mimi na wewe Ni ndugu kwa nini tugombane kwa sababu ya mihemko ya kisiasa,
Tuwaache wanasiasa wagombane wao kwa wao kwa sababu wanagombania kuyajenga Maisha yao na familia Zao.
...........!