This is life for this resident of Tandale kwa Mtogole in Kinondoni, Dar es Salaam, as he rests outside his house surrounded by perennial sewage discharged from neighbouring houses. The picture is similar in most residences in the area, with few signs that the situation will improve any time soon.
Picha kwa hisani ya IPPMedia
hili eneo kama sikosei lipo kiondoni sehemu ambayo inasemekana kila mtu anayematter dar es salaam anatoka. Angalia alivyokaa, mawazo kibao, jinsi anavyofikiria next move mwenyekiti wa kitongoji, then mtaa, then diwani, then mbunge, then waziri then....
Kila kiongozi anatoka kinondoni kutokana na mawazo kama aliyonayo mtanzania huyu. Watanzania wengine wana matatizo ila hawafikirii sana jinsi ya kuyasolve kama watu wa kinondoni.
all in all lakini wananchi hatupaswi kuacha kufikili na kutatua matatizo yetu. jamani kila kitu serikali? hivi huo hapo si uchafu jamani? nimeona mitaa mingi ni michafu kupita kiasi na watu hawataki kufanya usafi ni kulalama tu. jamani tubadilike kifikra. kuacha uchafu namna hiyo kunaathiri sana afya zetu