Tandale Kwa Mtogole

Mungu baba wa huruma wabariki watu wako wanaoangamia kwa upumbavu wa mafisadi wachache.
 

Attachments

  • TT.jpg
    TT.jpg
    3.1 KB · Views: 69
Mtogole.jpg


This is life for this resident of Tandale kwa Mtogole in Kinondoni, Dar es Salaam, as he rests outside his house surrounded by perennial sewage discharged from neighbouring houses. The picture is similar in most residences in the area, with few signs that the situation will improve any time soon.

Picha kwa hisani ya IPPMedia

ukiona hvyo maisha bora yanakaribia.
 
Na utasikia wakazi wa maeneo hayo wanasema "Kiwete ametu-KUNA! sana kwenye kipindi kileee cha TBC1 live!"

Wajinga ndio...
 
tabia ya watu nayo ni wachafu mambo mengine wala sio serikali,kuna mtu hapo juu anadai eti tunashangaa nini hata india new delhi yapo,hivi unajilinganisha na wale raia wa India kweli?why usiseme tuwe kama london,Vienna etc?
 
tabia ya watu nayo ni wachafu mambo mengine wala sio serikali,kuna mtu hapo juu anadai eti tunashangaa nini hata india new delhi yapo,hivi unajilinganisha na wale raia wa india kweli?why usiseme tuwe kama london,vienna etc?

kasumba za utumwa na uvivu wa kufikiri. Mazoea ya kutaka majibu mepesi kwa maswali magumu ndicho chanzo cha haya yanayoonekana katika picha hizo.
 
You may be right, but do you think it is good idea kuji-console kwamba Tandale ni afadhali kuliko Kibera Nairobi? Common! Tunatakiwa tuyafanyia usafi maeneo yanayotuzunguka au unasubiri serikali ije ikufanyie usafi hata chumbani kwako?
 
Katika wilaya 3 za Dar es salaam inawezekana Kinondoni ndio inaongoza kwa uchafu.Halafu hii tabia ya uchafu inaambukiza.Ukikaa kwenye mtaa wa watu wachafu kuna uwezekano mkubwa na wewe utakuwa unachukulia kila kitu hivyohivyo.Mambo mengine hata hayahitaji serikali,hii ni tabia yetu watanzania wengi.

Bibti Sayuni,
Vilevile Kinondoni inaongoza kwa kuwa na executive (prime areas) kwa Dar es Salaam na pengine kwa nchi nzima. Maeneo kama vile Oyester Bay, Masaki, Msasani (si bonde la mpunga wala mandazi road), Mikocheni, Mbezi Beach etc.
 
With this, Kipindupindu will kill people forever. Malaria hayataisha.
 
Maisha ni makubaliano kati ya mazingira na wanaoishi,inaelekea hawa watu wameyakubali kabisa haya mazingira ndio maana wanastarehe tuu,watu waliozoea mazingira machafu,hata ukiwapeleka washington DC watapafanya mtogole,na machata mengi kutani mf.msela wa meli,kichaa kapita,n.k!!
 
all in all lakini wananchi hatupaswi kuacha kufikili na kutatua matatizo yetu. jamani kila kitu serikali? hivi huo hapo si uchafu jamani? nimeona mitaa mingi ni michafu kupita kiasi na watu hawataki kufanya usafi ni kulalama tu. jamani tubadilike kifikra. kuacha uchafu namna hiyo kunaathiri sana afya zetu
kwa hiyo unataka wananchi wachimbe mitaro na kuweka sewage systems hapa mjini na kwingineko,si ndio manake.kodi tunayolipa kila kukicha inaenda wapi?think twice before you put a comment wengine unatutia hasira maana tunakaa huku tandale
 
Kakalende tunashukuru kwa post yako. Naamini wale waliokulia Obay na kutembea na magari ya kifahari wanaweza wakabisha ijapokuwa hata hapo jirani yao kwa wamachinga (mchachani) panafanafana na huko kwa mtogole. Kwa kweli maisha wanayoishi watanzania wengi mjini ni hayo. Ukitembelea Keko, Kinondoni shamba, Manzese, Tandika n.k utastaajabu Firauni. Maisha bora kwa kila Mtz inawezekana miaka 50 mingine kama tutakuwa na nia ya kweli.
 
mmmh.. hata mabanda ya mifugo yana nafuu,kwani kila mtu lazima aishi mjini?
turudi vijijini kwenye miji yetu ya asili kuna maeneo ya kutosha ardhi nzuri usafi mzuri tusikae kuilaumu serikali kwa kila jambo,tubadilikeni sisi wenewe kwani hao wanaoingia serikali wanabadilika wao na familia zao hivyo tusiwasubiri mpaka wao watosheke muda wenyewe hautoshi jamani.!!
 
Du! mimi siku zote nimezama juu kwenye siasa, kumbe huku chini kuna vitu kama hivi??

Inaumiza NEMC/Halmashauri kukicha wako kwa Wahindi kuwafungia viwanda vyao hivi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira kazi yao nini??

Pia kwenye hizi nyumba kila nyumba ina TV na antena! na cha ajabu jaribu kupanda daladala linalopitia kwa Mtogole kila daladala kuna vibaka 6 hadi kumi.
 
Baadhi yetu watabisha na kukataa kwamba labda hali haiko hivyo lakini wale wanaokaa 'USWAZI' Dar es Salaam wtakubaliana na mimi kuwa Tandale kwa Mtogole inawakilisha maeneo mengi ya miji yetu ambako hali ya usafi ni msamiati usiojulikana

3233304341_519bd494fc.jpg


20090626_Tandale.jpg


3233303465_a521391677.jpg


3233303875_7576f330b6.jpg


3233304175_f41048acb3.jpg
Na hapa ni ndani ya jiji aka town,je chato je?
 
Back
Top Bottom