Tamthiliya ya Kihindi Beintehaa

Tamthiliya ya Kihindi Beintehaa

Nilipenda ilivyoisha baada ya naafisa kuzungumza ukweli aliyaa akapata kibali kwenye ile nyumba
Zain na aliya baadae walipata mtoto wa kiume na mdogo wake aliya alipata mtoto wa kike

Sasa wakatokea kuchukiana sana kati ya mtoto wa aliya na mtoto wa ndugu yake ayaaat ambapo mtoto wa ayaat anamwita zain mjomba wake na yule wa kiume anamwita ayaati shangazi yake

Ikanikumbusha maisha ya zain na aaliya kipindi kile bado wadogo walivyokuwa wakichukiana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
'Karibuni Startimes Bollywood HD,muone tamthilia ya kuvunja na shoka.. "Two Hearts bound by Love"'
 
Mimi niliacha angalia sababu ya jinsi kipindi hicho Kinavyo oneshwa, yaani mbwembwe nyingi tukio lenyewe dk 1 lakini wataweka slomo Mara watarudia mpaka wanakwaza. Kwahiyo ili tusikwazane niliamua kuacha mazima...

Sent using Jamii Forums mobile app
We kama mm,mm nilisafiri kama wiki mbili hv niliporudi kuangalia nikitegemea itakuwa imesogea mbali nikakuta inazungukia palepale tu nikaachana nayo,watu wameoana wanaishi chumba kimoja lakini kutwa kuviziana hata kuambiana wanapendana hawawez pumbav
 
Back
Top Bottom