Iko poa sana! Hii tamthiliya nahisi inaonyeshwa dk25 tu! Hv kuna cd zake mtaani?Mimi niliacha angalia sababu ya jinsi kipindi hicho Kinavyo oneshwa, yaani mbwembwe nyingi tukio lenyewe dk 1 lakini wataweka slomo Mara watarudia mpaka wanakwaza. Kwahiyo ili tusikwazane niliamua kuacha mazima...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndoa ile haitofanikiwa Suraiya atafanya umafia wake kumteka Bilal ili asimuoe Aaliya, jiko litakwenda kwa wakili Rehan atajibebea wife Zain atabaki haelewi elewiHivi ndoa ya Jamal na Aaliya imefanikiwa leo? Maana kwangu umeme ulikatika
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh jmn! Sasa wakili anavyompenda Aaliya jmn atamwacha salama kweli? Hv pia atamwoa halafu aishi nae tu bila kumufanya chochote!?Ndoa ile haitofanikiwa Suraiya atafanya umafia wake kumteka Bilal ili asimuoe Aaliya, jiko litakwenda kwa wakili Rehan atajibebea wife Zain atabaki haelewi elewi
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh jmn! Sasa wakili anavyompenda Aaliya jmn atamwacha salama kweli? Hv pia atamwoa halafu aishi nae tu bila kumufanya chochote!?
Sent using Jamii Forums mobile app
hatomfanya lolote kwani si wanaigiza wale! Kwani Zain anamfanya kweli Aaliya!? But niliangaliaga kitambo sana Color Tv Zain atateseka sana kumrejesha Aaliya, Rehan atakua anatoa Talaka ila talaka ya mwisho atamzungusha Sana'a mpaka siku ambayo Zara atakaribia kupata ajali na Zain atamuokoa na kugongwa yeye badala ya mtoto,hapo Rehan atamlipa Zain akiwa mahututi hosptital kwa kumpa Aaliya talaka ya 3 Okay maana nliwaza Aaliya asije kurudi kwa zain na mimba ya Rehan halafu utamu wa mchezo ukaisha![]()
hatomfanya lolote kwani si wanaigiza wale! Kwani Zain anamfanya kweli Aaliya!? But niliangaliaga kitambo sana Color Tv Zain atateseka sana kumrejesha Aaliya, Rehan atakua anatoa Talaka ila taraka ya mwisho atamzungusha Sana'a mpaka siku ambayo Zara atakaribia kupata ajali na Zain atamuokoa na kugongwa yeye badala ya mtoto,hapo Rehan atamlipa Zain akiwa mahututi hosptital kwa kumpa Aaliya talaka ya 3
Sent using Jamii Forums mobile app
Subiri uje uone Suraiya akimkabidhi mji Aaliya hapo ndio utakua mwisho wa mchezoOkay maana nliwaza Aaliya asije kurudi kwa zain na mimba ya Rehan halafu utamu wa mchezo ukaisha![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Okay thanksSubiri uje uone Suraiya akimkabidhi mji Aaliya hapo ndio utakua mwisho wa mchezo
Sent using Jamii Forums mobile app
Zipo,naweza kukuleteaIko poa sana! Hii tamthiliya nahisi inaonyeshwa dk25 tu! Hv kuna cd zake mtaani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumfanyaje?mkuu angalia shivanya ndo mpango mzimaDuh jmn! Sasa wakili anavyompenda Aaliya jmn atamwacha salama kweli? Hv pia atamwoa halafu aishi nae tu bila kumufanya chochote!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumfanyaje?![]()
hatomfanya lolote kwani si wanaigiza wale! Kwani Zain anamfanya kweli Aaliya!? But niliangaliaga kitambo sana Color Tv Zain atateseka sana kumrejesha Aaliya, Rehan atakua anatoa Talaka ila talaka ya mwisho atamzungusha Sana'a mpaka siku ambayo Zara atakaribia kupata ajali na Zain atamuokoa na kugongwa yeye badala ya mtoto,hapo Rehan atamlipa Zain akiwa mahututi hosptital kwa kumpa Aaliya talaka ya 3
Sent using Jamii Forums mobile app
Finyango nikibabuliwa mabao wewe hutonisaidia lolote,tulale kesho ntakuelewesha ila muuliza swali alimaanisha Rehani hatomlala Aaliya ndio nikamjibu kua kwani wale si wanaigiza tu!! Hata Zain si hamlali kweli Aaliya