Mingoi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 11,715
- 6,119
a.k.a Mutahabawapi jason bourne aka yeriko nyerere
jela hiyoo yakuita
a.k.a Mutahabawapi jason bourne aka yeriko nyerere
jela hiyoo yakuita
CHADEMA imeingiwa na kirusi kibaya sana.
Wewe ni shetani ww, sio binadam wa kawaida.Kweli ?....Unadhani mahakamani ni kwenye klabu za pombe za kienyeji?
Zitto the TRUTH shall set you free.
yetu macho
vipi na ile tarifa ya kuchukua posho PAC nk kakanusha pia?
bora Zito ukae kimya ukiwa mpambanaji lazima ukumbane na vikwazo vyote hivo
kama hakuna ukweli wa taairfa hiyo zipuuze pambana, kama zina ukweli tutajua sisi wananchi.
kujibu jibu huku kunakupunguzia credibility..
wenzetu wanasema ukitaka kumjua mwaafrika muulize jambo hata kama ni la uongo au ukweli lazima atajitetea kwa makala ndefu sana....Kusema maneno mawili tu inatosha,, yaani SIO KWELI AU NI KWELI.
Zitto ni pandikizi, tuling'oe katika chama. Anakuja hapa na vitisho, nani anaogopa mkono wa sheria?. Kwa taarifa yako hatumwogopi hata na rafk yako Zoka. Wang'oa kucha na macho wakubwa ninyi. Dhambi mliyoifanya kwa Kibanda na Mwangosi itawaangukia. Kama ni kufa utakufa tu kinachokuogopesha nini?. Utishiwe maisha ama usitishiwe utakufa tu. Nitaunga mkono chanzo chochote kitakachoharakisha mauti yako. Iwe ugonjwa ama la.
Njoo na ushahidi vinginevyo mnadhani kuchafua wengine kutawasafisha na tuhuma zenu?
Hii taharifa ni ya oungo kabisa, Zitto anadai hajawahi kukutana na Dr. Kimei hata siku moja? huu ni uongo wa kupindukia
Mwisho mbaya sanaMwisho wa ufalme. Chadema semeni tena.
Kweli ?....Unadhani mahakamani ni kwenye klabu za pombe za kienyeji?
Slaa bora aombe radhi tu kwa jaribio hili la kumchafua Zitto.
Ukimya wake unazidi kuiumiza Chadema.
nitarudi baadaye sanaaa, but zitto hakuna siri ya wawili duniani kuna siri ya mmoja tu..... Poa tumekusikia.