mtanganyika wa kweli JF-Expert Member Apr 12, 2015 2,420 1,718 Jul 18, 2016 #1 Kichwa cha habari kinajieleza!
beth JF-Expert Member Aug 19, 2012 3,877 6,326 Jul 18, 2016 #2 Mkuu ndio umemaliza hapo? Hebu tujuze zaidi bhanaaa unakuwa kama sio msomi!
Code Breaker JF-Expert Member Mar 2, 2014 1,019 445 Jul 18, 2016 #3 Revolution square ya siku hizi imepandwa ukoka na kuzungushiwa fence, au mna nyingine Wana "Vuguvugu"??? Anyway.. Ngoja tumalize mkutano Kwanza huku Kati..
Revolution square ya siku hizi imepandwa ukoka na kuzungushiwa fence, au mna nyingine Wana "Vuguvugu"??? Anyway.. Ngoja tumalize mkutano Kwanza huku Kati..
Askari Muoga JF-Expert Member Oct 22, 2015 6,113 4,647 Jul 18, 2016 #4 Mnatuchanganya mnataka pesa ya nn
Job K JF-Expert Member Oct 4, 2010 9,315 7,113 Jul 18, 2016 #5 Tamko sijui limeandikwa na division 5? Hawa ndo wasomi wetu!!
mtanganyika wa kweli JF-Expert Member Apr 12, 2015 2,420 1,718 Jul 19, 2016 Thread starter #6 beth said: Mkuu ndio umemaliza hapo? Hebu tujuze zaidi bhanaaa unakuwa kama sio msomi! Click to expand... unatumia tecno haifungui pic?,tangazo linajieleza nieleze nini tena?
beth said: Mkuu ndio umemaliza hapo? Hebu tujuze zaidi bhanaaa unakuwa kama sio msomi! Click to expand... unatumia tecno haifungui pic?,tangazo linajieleza nieleze nini tena?
Planett JF-Expert Member Mar 20, 2014 10,425 15,981 Jul 19, 2016 #7 mtanganyika wa kweli said: unatumia tecno haifungui pic?,tangazo linajieleza nieleze nini tena? Click to expand... acha kejeli we kizee
mtanganyika wa kweli said: unatumia tecno haifungui pic?,tangazo linajieleza nieleze nini tena? Click to expand... acha kejeli we kizee
mtanganyika wa kweli JF-Expert Member Apr 12, 2015 2,420 1,718 Jul 19, 2016 Thread starter #8 Planett said: acha kejeli we kizee Click to expand... kamhudumie mume ww
Lupweko JF-Expert Member Mar 26, 2009 20,715 20,472 Aug 11, 2016 #9 Wanavuguvugu mmeshapoa, mmekuwa wanabaridi
DEPETERO JF-Expert Member Jul 29, 2016 815 580 Aug 11, 2016 #10 Yaani wanafunzi kimya tupu,hivi hao marais vyuoni mnawachaguaga wawaibie?.hebu chukueni hatua kali zaidi.
Yaani wanafunzi kimya tupu,hivi hao marais vyuoni mnawachaguaga wawaibie?.hebu chukueni hatua kali zaidi.