Tamko la TYP juu ya MCC

Ona Huu unafiki. Tuainishe hapa Maeneo ambayo tunasaidiwa na Hawa Wazungu kama Mtaendelea kukumbuka Shuka Asubuhi?

Mngekua hamtaki Hii misaada mngeacha kuomba na Mngesimama kuikosoa Serikali, Sio mpaka tunyimwe Baada Ya Kuomba Ndio Mjifanye Hamtaki Utegemezi.
 
Povu linatoka kwa sababu tulishatamanishwa halafu sababu za kutukosesha hizo pesa ni za ziko ndani ya uwezo wetu kuzitmiza lakini watawala hawajali.
Kwani uwezo wetu wa kufikiri unaishia hapa? Hivi kweli Nchi Haiwezi kutafuta trilioni moja mpaka Tutoe mapovu namna Hii?
 
safi sana

Yaani watanzania tulivyo wapuuzi tunasubiri wazungu waje watusaidie kuweka mashinikizo katika maeneo tunayogandamizwa
 


Hizi hela naona kila mda zinazidi kuongezeka.
 
eti watanzania wanataka misaada bila masharti...Pumbaaaauf.....hamjui kuwa hiyo ni kodi ya wananchi wa nchi za watu?

Kama hamtaki mjitenge msitegemee msaada kutoka popote pale.....ujinga kabisa
 

shughulikieni haya mambo

1.Rekebisha sharia ya Cybercrime
2.Rudini kwenye matokeo halali ya Uchaguzi Zanzibar 25 oct 2015

Kuwatukana TYP haisaidii...Hawa wameongelea kiini cha tatizo...sio Unafiki wenu
 

HIVI MIMI NJIULIZA, WANANCHI TUKIDAI HAKI ZETU HIZI, SI NDIO KITANUKA ZAIDI?
 
Kwahiyo we uwezo wako wa kufungua akili ndo huu...ficha upumbavu wako.
 
Kwani uwezo wetu wa kufikiri unaishia hapa? Hivi kweli Nchi Haiwezi kutafuta trilioni moja mpaka Tutoe mapovu namna Hii?
Asilimia 90 ya makusanyo inatumika kwa uendeshaji ikiwemo mishahara pia kuna deni la trillion 40 linatakiwa kulipwa
Magu atatoa wapi trillion isiyo na kazi
Miaka mitano sasa bajeti ya maendeleo haijawahi kutolewa zaidi ya 20%
 
Ni punguani pekee atakayekubaliana na serikali ya CCM katika hili. Sijui walifikiri nini? kuwa pamoja na EU na Marekani kuonya kuhusu ukiukwaji wa haki za msingi katika sheria ya mtandao na uchaguzi wa Zanzibar, wao waliona wako sawa tu. Eti Zanzibar ina katiba yake, huku nyuma CCM haiwajibiki kwa katiba hiyo!! Lo, aibu kubwa. Hili litatuumiza sana, na hakika hili litaangusha kwa zaidi ya 60% manufaa tuliyotegemea kutoka kwa serikali ya Pombe Magufuli. Laiti angechukua hatua, hakika nchi ingekuwa ya asali na maziwa chini ya uongozi wake.

Kwa uchungu mkubwa sasa tunasubiri rungu la EU, sijui watatuacha vipi.

Vita ni vita, lakini unapokuwa na vita ya ndani na nje, aghalabu kama utatoka salama. Nakupa pole sana rais wetu katika hili.
 
Talk is Cheap, wataona impact yake hii Hela soon... saiv wanatafuta Cheap Popularity
 
shughulikieni haya mambo

1.Rekebisha sharia ya Cybercrime
2.Rudini kwenye matokeo halali ya Uchaguzi Zanzibar 25 oct 2015

Kuwatukana TYP haisaidii...Hawa wameongelea kiini cha tatizo...sio Unafiki wenu


Hakuna kitakachobadilishwa na nchi itasimama nakutoboa, kwanza Waziri wetu wa fedha ameshasema kwamba hiyo fedha ya MCC hazikujumuishwa kwenye bajeti ya ijayo hivyo ina maana miradi itaendelea kama kawaida na hata jana Waziri wetu Nishati ametoa wito kwa kandarasi kufanya kazi kwa haraka kusambaza umeme!
 
lakini mkumbuke hata wao wana uchungu na ela zao ndio maana wanatupa kwa masharti na hata kama ni wewe sidhani kama utaridhika kwa kumpa mzazi ela badala ya kufanya cha maana nyumbani yeye anaenda kulewea tu
 
Msemo wa 'hii Nchi Masikini' siupendi na sijui hasa kwa nini! kuna mambo hayahitaji elimu ya juu sana kuyaelewa, hivi tulipokuwa tunahubiriwa mabadiliko, watu walidhani mabadiliko gani? ili uje kuwa na msimamo wa kushughulikia mikataba mibovu kwanza lazima wahisani watambue unatambua thamani ya rasilimali ulizonazo! wacha watunyime misaada leo ili tupate nafuu ya kusimamia vya kwetu taratibu! tuna kila kitu cha thamani zaidi ya misaada wanayotunyima leo, tushirikianeni kusimamia na kukataa ubadhilifu na ufisadi hasa tunapokuwa na kiongozi wa juu anayeonekana kuchukizwa na hali hiyo!
 

hahahahahhahahahahahhahahahahahaha
 
Hatuongelei Ubadhirifu na Ufisadi wala Kujua Thamani ya Rasirimali tulizonazo. Kuna Hela Za MCC tuliomba Tukanyimwa. Huo ndo mjadala.

Kujitegemea tunakokuongelea Ndio huku, Kuendelea kufanya mambo ya Ajabu kwenye Demokrasia yetu mpaka Dunia inatushangaa.
 
hata sijawaelewa maana hata hapo umeshatoa mawazo yako. Lakini utaishi kwa kutegemea msaada wa baba wa jirani mpaka lini. Matamko mengine yanatuwekea uzembe wa kufukiria, am still loading.....
 
ubongo wako una funza!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…