Tamko la DARUSO kuhusu mikopo

Lakini mkuu,hayo masaa 48 tunaanza kuyasubiria kuanzia lini? Maana taarifa uliyotoa ni ya toka tarehe sita;yaani siku tano zilizopita,hebu nifafanulie kidogo hapo!

kuanzia jana muda waliotujibu soma vizuri utaelewa ni muda gani
 
Rais kashatoa tamko so tusiwe na pressure
 
hapana ipo moshi vijijini

Aah udsm imechoka kama majengo yake pale pamebaki na wale wauza sura wa mlimani city na wale wadada poa wa ambiance uwezi kuta vichwa vya akina mnyika, lissu na akina zitto
 
Aah udsm imechoka kama majengo yake pale pamebaki na wale wauza sura wa mlimani city na wale wadada poa wa ambiance uwezi kuta vichwa vya akina mnyika, lissu na akina zitto

mbona haujajitolea mfano wewe au wewe sio kichwa ni mbumbumbu nini
 
bado maxaa machache hii habari kutoka DARUSO itaonekana valueless
 
acha waisome namba baba zenu mnawachekea wanapoishabikia ccm ndio dhambi hyo ndg zangu poleni...nakumbuka nishawahi mhanga hapo UDSM miaka kadhaa....pana vurugu sana hapo
 

pole mkuu hujui lolote lililofanyika mpka sasa kuhusu mkopo ndomana umeandka upuuz huu
 
u thought kwamba wakisema masaa48 ndo yawe exactly as they have just said?? hivi bado hujaiexperience vizuri government ya TZ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…