Tamko la DARUSO kuhusu mikopo

Tamko la DARUSO kuhusu mikopo

Lakini mkuu,hayo masaa 48 tunaanza kuyasubiria kuanzia lini? Maana taarifa uliyotoa ni ya toka tarehe sita;yaani siku tano zilizopita,hebu nifafanulie kidogo hapo!

kuanzia jana muda waliotujibu soma vizuri utaelewa ni muda gani
 
Aah udsm imechoka kama majengo yake pale pamebaki na wale wauza sura wa mlimani city na wale wadada poa wa ambiance uwezi kuta vichwa vya akina mnyika, lissu na akina zitto

mbona haujajitolea mfano wewe au wewe sio kichwa ni mbumbumbu nini
 
bado maxaa machache hii habari kutoka DARUSO itaonekana valueless
 
acha waisome namba baba zenu mnawachekea wanapoishabikia ccm ndio dhambi hyo ndg zangu poleni...nakumbuka nishawahi mhanga hapo UDSM miaka kadhaa....pana vurugu sana hapo
 
Achana na hizo hadithi za DARUSO, hakuna kitu chochote kinachoendelea, hizo ni Propaganda tu.
Serikali ina viongozi wake na wasemaje wake, hawa mpaka sasa hawajasema chochote kuhusu huo mchakato uliosemwa na DARUSO hiyo ikiashiria kuwa hata wao hawana majibu.

Jipange kutafuta Ada ya chuo kwa njia zingine, na kama Serikali itakupa mkopo, basi iwe kama Surprise tu.

pole mkuu hujui lolote lililofanyika mpka sasa kuhusu mkopo ndomana umeandka upuuz huu
 
u thought kwamba wakisema masaa48 ndo yawe exactly as they have just said?? hivi bado hujaiexperience vizuri government ya TZ?
 
Back
Top Bottom