Tamko la Chama Cha Walimu(CWT)


Hii comment nimeipenda ki ukweli.sijui
kama serikali inaplan B ya watu wa kusimamia uchaguzi 2015 au imeamua liwalo na liwe...
 
Ee Mugu tusaidie!!zaidi ya 3/4 ya watz wana umaskini wa kipato(income poverty),kwa hy wengi wa watoto wa tz wanasoma kwenye public schools,bila elimu(c ile ya kwenye matokeo ya mitihani) watu hawa watakua watumwa either wa waafrika wenzao ama wa mataifa wengine e.g wacpojua jiografia vyema,hawatajua mipaka ya nchi hii wanamoishi,maliasili muhmu kama mafuta na inakoweza kupatikana nchini,etc!!mgomo baridi ni kusababisha kuperish kwa taifa letu cku ww ukiwa kaburini,vijana wachache wa cku izo watatulaum wote sio jk tu!!mi naona bora kufikiria kitu kingine ila co kufundisha uongo au kutofundisha kabsa,kama unaona huwz kuona njia mbadala ebu imiza wenzio labda kuna m2 anaweza akaja na mawazo mazuri!!MUNGU IBARIKI TANZANIA
 
ndo nini sasa umewapotezea wenzio muda mpaka wamekosa kazi ya sensa halafu unasitisha mgomo kirahisi namna hii, unafikiri siku nyingine watakuamini tena? Umeshapoteza imani kwao, ungejipanga mapema serikali imekushika sehemu ndogo sana, ungewauliza madaktari wakupe muelekeo kuwa wao kuwa walifanyeje?
 

UKITAKA KUELEWA ANACHOSEMA MKOBA.
kaa mwezi 1 fanya kama unatembelea shule yoyote ya serikali jirani nawe ndo utajua nini mkoba anamaanisha.
Siku mwl akiacha kugoma utajua tu ila kwa sasa mwl amegoma na ataendelea kugoma mpaka watu mtamuelewa mwl akigoma ni madhara gani yanayojitokeza...
 
tunarudi kwasababu tumelazimishwa na mahakama lakini msitegemee tutafundisha... subirini division Omari... tu
 

Causation zipo3,1ni necessary cause eg.meza ya mazungumzo[tayari],2ni emmediate cause eg.mgomo[tayari] na tatu ni ultimate cause eg.maandamano[yatafuata tu]baada ya hapo kitaeleweka2.
 
Nimeipenda hii. Hawana dili hawa waalimu. Kwanza ni watu ambao serikali haiwapendi kabisa na inaweza kuwafukuza any time!!

Acheni dharau na kejeli, hasa mtu anapodai haki kwa mwajili wake. Ninyi mpo hapa na unaandika na kuchangia leo kwenye hii JF, Mwalimu ndiye aliyekusaidia. Laana itakuwa juu yenu kwa kumtukana mwalimu. Shiiittt!!!
 
Maneno yako aliwahi kuyasema Mwl. E. Kezilahabi. soma shairi lake.
Sikilizeni wimbo huu:
Nilipokuwa mtoto niliitwa Chacha
Kwa matamshi yangu ya sasa
Nilipokuwa kijana niliitwa Chaupele
Nilipokuwa mtu mzima niliitwa Manywele
Nilipokuwa Mwalimu nikaitwa Bure.

Huu utakuwa wimbo wako
Utakapostaafu urudipo nyumbani
Umelewa kangara na nyayo zako
Zikishindwa kulenga njia nyembamba vijijini.
Utakuwa kichekesho cha watoto
Watakaokuita, Ticha! Popote upitapo.

Kumbuka Mwalimu utakapostaafu.
Mijusi watataga mayai ndani ya viatu
Vyako vilivyokwisha visigino
Na ndani ya sidiria chakavu
Zilizoshikizwa kamba kwa pini.
Mende watazaliana ndani ya chupa tupu
Za marashi na za bia.

Na manyigu yatajenga ndani ya kofia
Zilizosahaulika kutani.
Utakapokufa nge watazaliana
Chini ya jiwe juu ya kaburi lako,
Na mlevi fulani (isome fisadi) akipita atapenga
Na kupangusa vidole kwenye jiwe pweke.
Mwanzo na mwisho wako ndio huo.

Lakini wakati ungali hai
Unaweza kubadilisha mkondo wa maji.
Lakini kwanza tuzungumze. Wewe na mimi.
Acha mioyo yetu izungumze.
Baada ya kunyanyaswa
Na kisha nusu mshahara.
 
Hi Picha nimeiona Sehemu nina ipa Like kwa Machungu... Sijui nilie!!!
Liwalo na Liwe... kama Kiwete anasema haina uwezo wa Kuwalipa mimi napoana watoke Madarakani wapishe wanaoweza Kuendesha Nchi .. huyu jamaa tukimuacha atatuachia nchi yenye Wajinga wengi... Dawa ya Jeuri ni Kusudi ila Watakao umia ni Wananchi...
 
tunarudi kwasababu tumelazimishwa na mahakama lakini msitegemee tutafundisha... subirini division Omari... tu

Sasa mkisha fika shule si mfundishe tu hao watoto,kama mliamua kugoma mngejipanga mfanye mgomo wa ukweli au huo wa awamu ya pili mgome mgomo wa kutikisa serikali ila kwa sasa muwafundishe tu.
 
Duuuuuuh! Kweli uoga ni kitu kibaya!
At least they have tried. A message has been delivered to the masses ready for 2015 election. Heri mwoga anayejaribu kuliko shujaa aliye nyuma ya screen ya computer
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…