Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
CHADEMA leo kupitia Mwenyekiti wake Mh. Freemen Mbowe imetoa tamko kuhusu mauaji ya yaliyofanywa na polisi mjini Arusha.
Alidai kuwa Maandamano ya tarehe 5 January yalikuwa halali, kibali cha kufanya maandamano ilitolewa na Jeshi la polisi Mchana wa Tarehe 4 Januari.
Lakini baadaye IGP Mwema alikataza Maandamano kupitia vyombo vya habari usiku wa tarehe 4. Kimsingi siyo kila mtu anaangalia taarifa ya habari.
Tamko.
1. Waziri Nahodha na IGP Mwema wajiuzulu ama kufukuzwa kazi mara moja.
2. RPC Andengenye na OCD Zuberi wajiuzulu na kushtakiwa mahakamani kwa kuua raia wasio na kosa.
3. Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Ajiuzulu kwa kupindisha katiba makusudi, katika uchaguzi wa meya wa Arusha.
Alidai kuwa Maandamano ya tarehe 5 January yalikuwa halali, kibali cha kufanya maandamano ilitolewa na Jeshi la polisi Mchana wa Tarehe 4 Januari.
Lakini baadaye IGP Mwema alikataza Maandamano kupitia vyombo vya habari usiku wa tarehe 4. Kimsingi siyo kila mtu anaangalia taarifa ya habari.
Tamko.
1. Waziri Nahodha na IGP Mwema wajiuzulu ama kufukuzwa kazi mara moja.
2. RPC Andengenye na OCD Zuberi wajiuzulu na kushtakiwa mahakamani kwa kuua raia wasio na kosa.
3. Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Ajiuzulu kwa kupindisha katiba makusudi, katika uchaguzi wa meya wa Arusha.