Wakuu,
Kama uzi unavojieleza naomba tutamke neno lolote la faraja kwa walimu wetu yaani kuanzia wale wa chekechea, shule ya msingi, sekondari, vyuo vya kati, vyuo vikuu maana wote hao ni walimu tu.
Ili watufundishie watoto wetu kwa moyo mmoja
Walimu mtulie kama maji mtungini,
Kama uzi unavojieleza naomba tutamke neno lolote la faraja kwa walimu wetu yaani kuanzia wale wa chekechea, shule ya msingi, sekondari, vyuo vya kati, vyuo vikuu maana wote hao ni walimu tu.
Ili watufundishie watoto wetu kwa moyo mmoja
Walimu mtulie kama maji mtungini,

