TAMISEMI

TAMISEMI

watu wengine bwana!!?? c ungie uangalie website yao! muda ulitumia kuandaa thread si ungepata majibu ya uhakika kama ungeingia huko[/QUOTE
watu wengine bwana!!?? c ungie uangalie website yao! muda ulitumia kuandaa thread si ungepata majibu ya uhakika kama ungeingia huko
Ustaarabu haununuliwi. Ona aibu bhana, ukimjibu vizuri unapungukiwa nini??
 
Kwan kavunja sheria gan kuulizaa?
Kama ulijiskia kutokumjib siungekaa kimyaa!!
 
Jipya ni kuendelea kusubiri hadi itakapotangazwa na mamlaka husika.
 
duh watangaze bana!!! mtaani kunachosha. wapuuzi wachache watakuja kutokwa povu "jiajirini" wanadhani kujiajiri ni rahisi kama kufungua zipu. wamwulize Lutengwe(RC) kukosa ajira kunavoumiza!!!!
 
Back
Top Bottom