TAMISEMI: Watakaoshindwa kukamilisha zoezi la kupandisha watumishi madaraja kuchukuliwa hatua

Ngozi nyeusi ililaaniwa hakika.utamkuta mkuu wa idara/afisa utumishi anambania mtu asipande daraja ,wengine mpaka wahongwe ka rushwa .Mambo ya ajabu kweli haya.
 
Ngoja nione viongozi wa halmashauri yangu ya wilaya ya Kwimba watachukuliwa hatua gani,mana wilaya nzima hawajapandisha mtu japo wao wanadai watu watatu ndio waliona mabadiliko ktk mishahara yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…