tatizo la watumishi wa umma hampendani, kila idara mnaumizana nyinyi kwa nyinyi, mnabaniana, unafiki na majungu ndio mtindo wa maisha yenu, kusemana vibaya kuharibiana n.k, unakuta kiongozi anapiga pini aliye chini asipande, roho mbaya!! utadhani hela inayo lipwa ni ya kampuni yake binafsi kumbe ni serikali ya watanzania wote.
Jirekebisheni, badilikeni, pendaneni ndipo hata sisi wananchi tutakuwa na imani kwenu.