TAMISEMI wanadai wamesitisha uhamisho mbona Wafanyakazi wanahama kwa kulipia kuanzia Tsh 700,000 mpaka 1,000,000?

Unachosema ni sahihi, kuna Mwalimu wa kike wa shule ya msingi nilishuhudia amehama kwenda Arusha kwa barua ya kutoka moja kwa moja toka TAMISEMI kipindi ambacho uhamisho umesitishwa. Nilipomdadisi alisema kwamba imemtoka laki Sita.
Dah! Maisha haya.....
 
Habari za asubui wanajamvi?!

Mimi ni mhanga wa uhamisho baada ya Serikali kusitisha uhamisho nilikuwa kwenye proceess za mwisho kabla ya uhamisho kufungwa.Hivyo sikubahatika kuhama kwani Tamisemi walidai wanaboresha uhamisho na soon ungelifunguliwa. Lakini cha kushangaza mpaka leo hakuna kuhama kwa mfanyakazi yeyote.

Kasumba iliojikita ni kwamba mtumishi anatakiwa kulipa 700000 mpaka 1000000 ili aweze kuhama na hazipiti wiki mbili unakuwa umehamia kwenye kituo chako.

Anachofanya mfanyakazi anayehama nikuandika barua ya geresha ya kuomba kuhama ambayo iyo barua huishia halmashauri ya mwalimu alioajiriwa kama ushahidi geresha na wapo wengine huwa hawaandiki kabisa lakini haipiti wiki 2 wanakuwa wamehamishwa.

Nina wajua wanaofanya mchezo huuu wakuwatoza watumishi pesa na kuwaamisha katika wiki zisizopungua 2.

Hivyo ushauri kwa serikali watu hawa wathibitiwe najua wapo wengi au kama ni mfumo rasmi ambao wizara ya Tamisemi inautambua basi waweke utaratibu maaalum kwani ajili ya malipo hayo kwani vishoka wamekuwa wengi na matapeli wamekuwa wengi nimepigwa 900,000 mwezi uliopita.

Hivyo tunaiomba Tamisemi kuwa makini hasa wale waliopo kwenye vitengo uchapaji wa barua za uhamisho majina yao ninayo.

Lakini kama ni mfumo rasmi basi uratibiwe vyema ili serikali ijipatie mapato kuliko kuishia kwenye mifuko ya watu wa chache
kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake
 
Unachosema ni sahihi, kuna Mwalimu wa kike wa shule ya msingi nilishuhudia amehama kwenda Arusha kwa barua ya kutoka moja kwa moja toka TAMISEMI kipindi ambacho uhamisho umesitishwa. Nilipomdadisi alisema kwamba imemtoka laki Sita.
Shuhuda mwingine huyu
 
Habari za asubui wanajamvi?!

Mimi ni mhanga wa uhamisho baada ya Serikali kusitisha uhamisho nilikuwa kwenye proceess za mwisho kabla ya uhamisho kufungwa.Hivyo sikubahatika kuhama kwani Tamisemi walidai wanaboresha uhamisho na soon ungelifunguliwa. Lakini cha kushangaza mpaka leo hakuna kuhama kwa mfanyakazi yeyote.

Kasumba iliojikita ni kwamba mtumishi anatakiwa kulipa 700000 mpaka 1000000 ili aweze kuhama na hazipiti wiki mbili unakuwa umehamia kwenye kituo chako.

Anachofanya mfanyakazi anayehama nikuandika barua ya geresha ya kuomba kuhama ambayo iyo barua huishia halmashauri ya mwalimu alioajiriwa kama ushahidi geresha na wapo wengine huwa hawaandiki kabisa lakini haipiti wiki 2 wanakuwa wamehamishwa.

Nina wajua wanaofanya mchezo huuu wakuwatoza watumishi pesa na kuwaamisha katika wiki zisizopungua 2.

Hivyo ushauri kwa serikali watu hawa wathibitiwe najua wapo wengi au kama ni mfumo rasmi ambao wizara ya Tamisemi inautambua basi waweke utaratibu maaalum kwani ajili ya malipo hayo kwani vishoka wamekuwa wengi na matapeli wamekuwa wengi nimepigwa 900,000 mwezi uliopita.

Hivyo tunaiomba Tamisemi kuwa makini hasa wale waliopo kwenye vitengo uchapaji wa barua za uhamisho majina yao ninayo.

Lakini kama ni mfumo rasmi basi uratibiwe vyema ili serikali ijipatie mapato kuliko kuishia kwenye mifuko ya watu wa chache

Siyo tamisemi tu mambo haya yako wizara zote hapa tanzania.si tu wanaohamishwa bali kuna watu hawahamishwi wako kituo kimoja miaka zaidi ya 15.sababu wanatoa rushwa kwa wakubwa na pia hutumia magari ya serikali katika biashara zao.watu wa namna hii wako wengi sana nchi hii.cha msingi kungekuwa na sheria mtu akikaa kituo kimoja kwa kipindi fulani ahamishwe ingeondoa hiyo rushwa.watu wengi wanataka kuhama vituo wanashindwa hivyo kuwasababishia kutoa rushwa.kabisa ukipangiwa mikoa ya pembezoni kama kigoma sahau kuhama utaozea huko.serikali itengeneze mifumo wezeshi kwa watumishi kuhama.
 
hii serikali ina nini na watumishi hadi uhamisho wa kujigharamia nao nongwa mnazuia,mbaya wenye zaidi wenye nacho wanaendelea kupeta
 
Mimi pia nateseka sana na uhamisho jamani serikali tuoneeni huruma tunalea familia mbili
 
Tuelewe tu watu wameamua kuifanya hii nchi ni Mali yao. Sheria zinawahusu wengine ila wao haziwahusu. Ni nchi ya ubaguzi wa kutisha katika hii nchi yetu tunayodai eti INA amani na maendeleo.
 
Habari za asubui wanajamvi?!

Mimi ni mhanga wa uhamisho baada ya Serikali kusitisha uhamisho nilikuwa kwenye proceess za mwisho kabla ya uhamisho kufungwa.Hivyo sikubahatika kuhama kwani Tamisemi walidai wanaboresha uhamisho na soon ungelifunguliwa. Lakini cha kushangaza mpaka leo hakuna kuhama kwa mfanyakazi yeyote.

Kasumba iliojikita ni kwamba mtumishi anatakiwa kulipa 700000 mpaka 1000000 ili aweze kuhama na hazipiti wiki mbili unakuwa umehamia kwenye kituo chako.

Anachofanya mfanyakazi anayehama nikuandika barua ya geresha ya kuomba kuhama ambayo iyo barua huishia halmashauri ya mwalimu alioajiriwa kama ushahidi geresha na wapo wengine huwa hawaandiki kabisa lakini haipiti wiki 2 wanakuwa wamehamishwa.

Nina wajua wanaofanya mchezo huuu wakuwatoza watumishi pesa na kuwaamisha katika wiki zisizopungua 2.

Hivyo ushauri kwa serikali watu hawa wathibitiwe najua wapo wengi au kama ni mfumo rasmi ambao wizara ya Tamisemi inautambua basi waweke utaratibu maaalum kwani ajili ya malipo hayo kwani vishoka wamekuwa wengi na matapeli wamekuwa wengi nimepigwa 900,000 mwezi uliopita.

Hivyo tunaiomba Tamisemi kuwa makini hasa wale waliopo kwenye vitengo uchapaji wa barua za uhamisho majina yao ninayo.

Lakini kama ni mfumo rasmi basi uratibiwe vyema ili serikali ijipatie mapato kuliko kuishia kwenye mifuko ya watu wa chache
Mkono mtupu aulambwi toa nawe uhame
 
Back
Top Bottom