Kasheshe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 4,694
- 787
Sio haki TAMISEMI Nzima kuwa chini ya waziri wa kawaida anaye-report Kwa waziri Mkuu!!!!! TAMISEMI inahitaji kuongozwa na mtu ambaye Ana mamlaka ya karibia waziri mkuu na anatakiwa ku-report Kwa Rais Direct! Na waziri Huyo awe na mawaziri wote ambayo wanashugulikia mambo ambayo yamegatuliwa e.g. maji, elimu, Afya etc.