Tamisemi kuna shida gani?

Tamisemi kuna shida gani?

Nsam

JF-Expert Member
Joined
Oct 25, 2018
Posts
212
Reaction score
290
Nauliza hvi walimu wa degree hawatakiw kupewa kazi na serikali?


Je walimu wa sanaa hawatakiw kupewa kazi

Kuna watu wanajitolea shule za serikal hawapew kazi


Kwann msiajiri degree kw mshahar mdgo

Kuliko haya magumu wanayopata vijan

Fikirien upya


Biyaz ni mbaya sanaa


Tafadhali tunaomba koz za sanaa zifutwe
 
Nauliza hvi walimu wa degree hawatakiw kupewa kazi na serikali?


Je walimu wa sanaa hawatakiw kupewa kazi

Kuna watu wanajitolea shule za serikal hawapew kazi


Kwann msiajiri degree kw mshahar mdgo

Kuliko haya magumu wanayopata vijan

Fikirien upya


Biyaz ni mbaya sanaa


Tafadhali tunaomba koz za sanaa zifutwe
5 tenaaa, tumejipangaaa mwaka huu wataisomaaaa, wataisoma nambaaaaa

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
 
usiwe na shaka mkuu alitangaza ajira milioni 8 cha muhimu ww vumilia tu dawa iingie
 
Nauliza hvi walimu wa degree hawatakiw kupewa kazi na serikali?


Je walimu wa sanaa hawatakiw kupewa kazi

Kuna watu wanajitolea shule za serikal hawapew kazi


Kwann msiajiri degree kw mshahar mdgo

Kuliko haya magumu wanayopata vijan

Fikirien upya


Biyaz ni mbaya sanaa


Tafadhali tunaomba koz za sanaa zifutwe
Wakujitolea hawajapata?
 
Na volunteer tangu mwaka jana mwezi wa 7 pamoja na mdogo wangu, but wote 0

Do not give up. We keep moving
 
Kuna majina feki mengi sana kwenye hizi ajira
Ukitaka ku prove nakutolea mfano wa jina la huyu ABDALLAH LEONARD SHONDE
Ni jina hewa kwa sababu zifuatazo

1. Ukiangalia index namba yake ya f4 ambayo ni S3630/0099/2013
Kwa mwaka huo huo na shule hiyo hiyo na darasa hilo hilo kuna mwanafunzi alikuwa ana index ya S3630/0098/2013 SAIDI. ZAKIA
Utofauti wao ni 98, kwa 99
Sasa jiulize mpangilio wa index namba zinafata alfabeti je huyu SAIDI ZAKIA mwenye 98 na ABDALLAH LEONARD mwenye 99 ilikuwaje SAID amtangulie ABDALLAH kwenye index namba ?

2. Pia tujuavyo majina ya Alfabeti zinazo anza na A kwa wavulana mara zote huwaga index namba zao zinakuwa mwanzoni mwanzoni sio kwenye tisini na
Sasa hapa unajioji hilo darasa lilikuwa na majina ya wavulana wenye alfabeti ya A 98?
Kitu ambacho Kina mfanya huyu ABDALLAH kuwa na index namba 99? kwa nchi yetu na kwa mjibu wa jamii kimajina ilivyo haiwezekani

Hivyo kwa uchakachuzi huo huyu ABDALLAH LEONARD SHONDE jina feki amechakachuliwa kutoka kwa SAID ZAKIA jina original ambapo course aliyo somea huyu OG na ya yule feki zote ni sawa

Exactly
 
Hao wanaojitolea wajiunge na UVCCM. Vijana mnakwama wapi?
 
Nauliza hvi walimu wa degree hawatakiw kupewa kazi na serikali?


Je walimu wa sanaa hawatakiw kupewa kazi

Kuna watu wanajitolea shule za serikal hawapew kazi


Kwann msiajiri degree kw mshahar mdgo

Kuliko haya magumu wanayopata vijan

Fikirien upya


Biyaz ni mbaya sanaa


Tafadhali tunaomba koz za sanaa zifutwe
Pole mwalimu ila nyie wa bachelor niliskia hamtaki kufundisha primary school, koo jiungeni UVCCM tuuu
 
Back
Top Bottom