Wizara ya Tamisemi imetoa taarifa kuwa kuanzia jumatatu ya tarehe 7 wahitimu wa fani ya ualimu waanze kuomba kazi.
Kulingana na idadi ya wahitimu inayohitajika ni dhahiri wengi watakuwa walimu wa masomo ya sayansi na wale wa shule za msingi.
Kuliko kuwasumbua vijana wote kuhangaika kutuma maombi na kutumia gharama kubwa, ni wakati sasa serikali iweke walimu na masomo yanayohitajika ili wale wasio husika wasisumbuke bure kutumia gharama kutuma maombi kumbe hawapo kwenye mpango wa kuajiriwa na serikali.
Itakuwa dhambi kubwa sana kuwaacha vijana kutuma maombi wakati serikali haina uhitaji wa masomo fulani.
Kulingana na idadi ya wahitimu inayohitajika ni dhahiri wengi watakuwa walimu wa masomo ya sayansi na wale wa shule za msingi.
Kuliko kuwasumbua vijana wote kuhangaika kutuma maombi na kutumia gharama kubwa, ni wakati sasa serikali iweke walimu na masomo yanayohitajika ili wale wasio husika wasisumbuke bure kutumia gharama kutuma maombi kumbe hawapo kwenye mpango wa kuajiriwa na serikali.
Itakuwa dhambi kubwa sana kuwaacha vijana kutuma maombi wakati serikali haina uhitaji wa masomo fulani.