TAMISEMI acheni kiburi

TAMISEMI acheni kiburi

Niwaheri

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
3,481
Reaction score
5,357
Bado niko na nyie TAMISEMI nani anawatia kiburi cha uzima? mmefungua page mitandaoni ila hamna mtu mnaweza kumjibu, mmeweka huduma kwa wateja ila wahudumu mmewaweka kama pambo hawaelewi chochote je hii ina maana gani?

Mchengerwa wewe kwa kuwa umeteuliwa hutaki kujichosha maana cheo kipo tu hata ukiendelea kulala,umekuwa na kiburi sio poa?

Kingine tumeomba uhamisho wa kubadilishana imeshindikana je inabidi tuombeni upya tena kupitia mfumo, ebu tutoleeni ufafanuzi ili tujue moja. Haiwezekani maombi yaliyokwisha kufika TAMISEMI yachakatwe kwa mwaka mzima, hizi ni dharau za wazi mnatupuuza kwa kuwa hatuna impact yoyote siyo?

Kama TAMISEMI mna page hapa JamiiForum naombeni ufafanuzi.
 
Ni kweli haiingii AKILINI,uhamisho mwaka mzima ilihali mtu anajihamisha kwa gharama zake mwenyewe + maboresho ya mifumo ya kimitandao..hakika TAMISEMI ni JANGA
 
Katika jipu hili nalo nijipu limeiva haiwezekani serikali Ina anzisha vitu vingi halafu utekelezaji ni hovyo kulikuwa na haja gani ya kuanzisha mfumo kama watendaji hawa wajibiki maombi ya uhamisho yapo Kwa ma Ded n ma Deo kibao hayapitishwi almost miezi 5 ukija huko juu pia watu wamekamilisha uhamisho ila utaratibu wa kutoa majina au tamko Nini kina Kwa misha. Mnapo kosa chain ya mawasiliano na utendaji kama mhimili mkubwa Katika ngazi ya serikali za mitaa tunapata wasi wasi hata huko juu Kuna madudu kibao na uozo wa kiutendaji
 
Ni kweli haiingii AKILINI,uhamisho mwaka mzima ilihali mtu anajihamisha kwa gharama zake mwenyewe + maboresho ya mifumo ya kimitandao..hakika TAMISEMI ni JANGA
Wana jeuri tu wamekaa pale mtumba,eti wameweka customer care nao hawaelewi chochote,yaani hii nchi sijui ikoje yaani hamna mtu anakaa ofisini na kustuka kila mtu anafanya anachojisikia
 
Ni kweli haiingii AKILINI,uhamisho mwaka mzima ilihali mtu anajihamisha kwa gharama zake mwenyewe + maboresho ya mifumo ya kimitandao..hakika TAMISEMI ni JANGA
Alafu ni uhamisho wa kubadilishana,lakini pamoja na hayo kuna barua zinakuja kimyakimya watu wanasepa
 
Katika jipu hili nalo nijipu limeiva haiwezekani serikali Ina anzisha vitu vingi halafu utekelezaji ni hovyo kulikuwa na haja gani ya kuanzisha mfumo kama watendaji hawa wajibiki maombi ya uhamisho yapo Kwa ma Ded n ma Deo kibao hayapitishwi almost miezi 5 ukija huko juu pia watu wamekamilisha uhamisho ila utaratibu wa kutoa majina au tamko Nini kina Kwa misha. Mnapo kosa chain ya mawasiliano na utendaji kama mhimili mkubwa Katika ngazi ya serikali za mitaa tunapata wasi wasi hata huko juu Kuna madudu kibao na uozo wa kiutendaji
Yaani sasa hivi watu wanaishi vile wanajisikia,ufafanuzi hakuna yaani ni kiburi juu ya kiburi.
Ndo shida ya vyeo vya kupasiana,mama anaupiga mwingi
 
Tamisemi inaajiri wazee wa miaka 38 halafu inawapangia vituo ambavyo hawakuomba, matokeo yake wakipata cheki wanahama ili kuungana na familia au biashara zao
 
Tamisemi inaajiri wazee wa miaka 38 halafu inawapangia vituo ambavyo hawakuomba, matokeo yake wakipata cheki wanahama ili kuungana na familia au biashara zao
Sema sababu za kuhama zipo nyingi
 
Bado niko na nyie TAMISEMI nani anawatia kiburi cha uzima? mmefungua page mitandaoni ila hamna mtu mnaweza kumjibu, mmeweka huduma kwa wateja ila wahudumu mmewaweka kama pambo hawaelewi chochote je hii ina maana gani?

Mchengerwa wewe kwa kuwa umeteuliwa hutaki kujichosha maana cheo kipo tu hata ukiendelea kulala,umekuwa na kiburi sio poa?

Kingine tumeomba uhamisho wa kubadilishana imeshindikana je inabidi tuombeni upya tena kupitia mfumo, ebu tutoleeni ufafanuzi ili tujue moja. Haiwezekani maombi yaliyokwisha kufika TAMISEMI yachakatwe kwa mwaka mzima, hizi ni dharau za wazi mnatupuuza kwa kuwa hatuna impact yoyote siyo?

Kama TAMISEMI mna page hapa JamiiForum naombeni ufafanuzi.
Sio tamisemi tu,hata serikali kuu madudu hayohayo,wengine tunamwaka na nusu tuliomba uhamisho hamna majibu
 
Back
Top Bottom