Echolima
JF-Expert Member
- Oct 28, 2007
- 3,826
- 2,057
Kwa kipindi kirefu tumekuwa tukisikia vita vinaendelea kati ya majeshi ya syri-lanka na waasi wa Tamil tiger,juhudi nyingi sana zimefanywa kuweka suluhisho lakini juhudi hizo zimekuwa zikizimwa na serikali ya syri-lanka kwa kukataa suluhisho lolote la Amani hivyo kusababisha janga kwa raia wasio na hatia,wakati huo huo jumuia ya kimataifa imekaa kimya bila kufanya juhudi zozote za maksudi kama walivyoishinikiza Israel wakati wa vita vyake na Hamas.
Kitendo kama hiki kisifumbiwe macho maana maisha ya watu wasiona hatia wanakufa bila msaada wowote.
Kitendo kama hiki kisifumbiwe macho maana maisha ya watu wasiona hatia wanakufa bila msaada wowote.