Hmaster
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 346
- 86
Nimepata tetesi kuwa kuna uwezekano mkubwa sana wa mh. huyo kuwa mwenyekiti wa chama hilo kongwe nchini na Afrika hapo 2012 ili JeyKey ajikite kwenye urais tu. Kisa alifanikiwa sana katika kampeni kusambaza propaganda za udini kwa sms. Hili ninawezekana kweli?