UmtwaAlumbwagwe
Member
- May 24, 2012
- 54
- 10
Muda huu RICHARD TAMBWE HIZA anaongea LIVE EATV katika kipindi cha HOT MIX. Anasema alihama CUF kwasababu ni chama cha mtu mmoja - MAALIM SEIF na Wazanzibar wanaelewa hivyo kwamba CUF ni Seif na Seif ni CUF. Na wanaotaka serikali tatu ni waroho wa madaraka... Anasema hata mtu yeyote aliyeko ndani ya CCM anayemkosoa Rais ni yule aliyekuwa akihitaji kuteuliwa na kuwa amamkuu wa wilya mkoa nk.
MY TAKE Je! ni kosa kukosoa hata kwenye udhaifu?
MY TAKE Je! ni kosa kukosoa hata kwenye udhaifu?